Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

huko kwenye shuhuda za kupigwa fungu la 10 hapana. Kuna walokole flani ndio nipo nao wao sadaka tu huduma inaendelea.
Hilo fungu la 10 niwewe kujitwisha majukumu, kwani unalazimishwa? Wewe tafuta unachotaka mengine jiongeze basi, poleni sana, msichanganye changanye Mungu atamsadia!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Uchawi haupo,kilichobaki ni wasiwasi tu ambazo watu wamezijaza vichwani mwao.
 
Jibu la maelezo yako soma post yangu 251
 
Sisi wenyewe tulishamfanyia baba mdogo vimbwanga ili ahame alipokua anaishi kinyume na sheria mpka leo anaamini ni uchawii na huwezi mbadilisha....kumbe wajuba tulitupia mashuka meupe na nukuchezea akili yake tu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nyie wahuni
 
Naona umeshindwa kabisa kujibu maswali yangu rahisi, ila umeamua kuyadismiss philosophically. But, trust me, they are still pending. Unasema "huenda"!??
 
Sisi wenyewe tulishamfanyia baba mdogo vimbwanga ili ahame alipokua anaishi kinyume na sheria mpka leo anaamini ni uchawii na huwezi mbadilisha....kumbe wajuba tulitupia mashuka meupe na nukuchezea akili yake tu
Yeye alikua anatokewa na watu live chumbani wamelala sio nje ya kimaigizo kama yenu hiyo, yani chumbani wamelala mchawi anajitokeza taa inawaka, mwanamke kajifunika buibui jeusi juu mpaka chini huoni hata miguu
 
Ila yote kwa yote Jamani..ombeni msiwe na mchawi kwenye familia au ndugu wa karibu either wa baba au mama na awe amewaweka kwenye target yake..Jamani..Tushukuru tu nguvu za Mungu zipo.
Hao ndiyo wazuri sasa [emoji1][emoji1][emoji1] unapambana nao, usipopata viziwizi hutamjua yesu
 
kuna jamaa mmoja jirani yetu alikua na kacheo fulani uko mkoani Mara sijui alifanyaga kitu gani ila alilogwa alikuaga anakunya mawe yamoto walihangaika sana bila tiba mpaka walipofilisika nayeye akafa ndo niliamini uchawi upo
Duu jamani, nimeumia sana dunia hii ione hivi hivi

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kuprove wrong watu kuwa Iblis na Shetani does not exit
Hizo ni imani zilizochanganyika na psychological disoder
Na kama Iblis yupo au shetan nani aliwahi kumuona?
Do you believe that there is such power called "life," as in that unseen entinty or rather element, which keeps you alive???
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nyie wahuni
Nakumbuka alichanganyikiwa kabisa pale tulipokua kwenye gìza tororo tuna breathe fire kama madragon..kumbe watu tunapuliza mafuta ya taa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu hapo kwenye kusikia vishindo hujamalizia stori,baada ya babu yake kuweka mitego ni nini kilitokea baadae?
Nimetamani kujua kwa sababu hicho ulichoelezea pia huwa kinatokea nyumbani kwangu mara kwa mara.
Nikilala nasikia dirisha linakwanguliwa,bati linatikiswa,sauti ya kishindo kama tofali limeangushwa lakini ukitoka nje asubuhi hukuti kitu,muda mwingine unasikia bomba limefunguliwa linamwaga maji lakini ukitoka nje asubuhi kuangalia ni pakavu kabisa.
So haya mambo kumbe yanafanana
 
Yeah, that's real kabisa.
 
Exactly, mambo kama hayo yanawatokea watu wengi sana. Unatakiwa ujikite kwenye sala sana.
 
kuna jamaa mmoja jirani yetu alikua na kacheo fulani uko mkoani Mara sijui alifanyaga kitu gani ila alilogwa alikuaga anakunya mawe yamoto walihangaika sana bila tiba mpaka walipofilisika nayeye akafa ndo niliamini uchawi upo
Dah! Very dangerous kweli. They should have sought much prayers badala ya kwenda kwa waganga.
 
Sisi wenyewe tulishamfanyia baba mdogo vimbwanga ili ahame alipokua anaishi kinyume na sheria mpka leo anaamini ni uchawii na huwezi mbadilisha....kumbe wajuba tulitupia mashuka meupe na nukuchezea akili yake tu
Huwa nawaambia watu uchawi wala siyo wa kujaribisha; unaweza kutumika wewe mwenyewe, tena kimzamzaa tu ikiwa hivyo. Ukweli mchungu ni kwamba hiyo kitu za kishirikina na nguvu za giza hazinaga fomula moja. So unaweza tulifanya hivi ama vile, kumbe nguvu ilitumika kupitia utayari wako. Uwezekano huo upo sana tu. Lakini upande wa pili, mtu anaweza akaamini amerogwa, kweli akaugua akafa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…