Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Halafu ukute kuna mtu eti anatamani arogwe, duh! Si dhani mtu mwenye akili timamu anaweza kusema hivyo!ππ Kwa niliyoyapitia mbona nimeshika adabu na vifungu havinipigi chenga sasa hivi..tofauti na zamani huko ...Mungu azidi kutupigania maana dunia hii mmhh
kwa hiyo wanaosoma bible ndio hawadhuriki na wachawi?fanya research yako vizuriSalii sanaaaa soma sanaaaa Bible aisee!
Sala! Hizo chumvi ni uchawi tuMwaga chumvi nyumbani kwako
Hio ni sauti ya nyanyo kusota mkuu, yani hawa wase nge huwa natamani kama ningekuwa na bainokolaz niweze kuwaspot na kuwaharibia.kumbe tuko wengi tunaoathirika na hvyo vitu aisee.
Yaani kila siku saa nane kamili lazima nishtuke halafu baadae unaanza kusikia vitu kama mchanga vinarushwa juu ya bati au vitu kama shanga vinatupwa kwenye sakafu ndani.
Au unasikia nyayo za mtu zinatembea lakini hafiki anakokwenda
Amshukuru Mungu yupi? Mtu asiyeamini kuwa giza lipo hata nuru haamini kama ipoShukuru Mungu hivyo ulivyo
Wapi nimesema hivyo? Mantiki ya kusoma Bible na kusali ni kijiondoa kwenye channel za kishetani na kuja kwa Mungu. Unajua mpaka ufanyiwe hivyo hivyo vimbwanga, kimsingi unakuwa umekanyaga waya wa ufalme wa giza, sasa kazi ya agents zake ni rahisi tu ya kuwasha switi tu, unanasa!kwa hiyo wanaosoma bible ndio hawadhuriki na wachawi?fanya research yako vizuri
Kuwarithisha Imani ya kichawi ni kawaida kwa waafrika lakini si uhalisia.Sasa kama unajua wanawarithisha why unasema uchawi haupo? Acha kutania watu hapa mkuu.
Dah yani Dar sie ambao hatuko mlengo wa kushoto wala kulia tunanyanyasika sana yani.Dar karibia makabila yote yapo hapo lazima kila mtu aonyeshe ufundi wake [emoji23]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kusoma biblia hakutoshi mkuu, hata shetani kaisoma biblia yote anajua kila mstarikwa hiyo wanaosoma bible ndio hawadhuriki na wachawi?fanya research yako vizuri
Hio ni sauti ya nyanyo kusota mkuu, yani hawa wase nge huwa natamani kama ningekuwa na bainokolaz niweze kuwaspot na kuwaharibia.
Mie huwa napata hali ya msisimko haswa. Yani nywele husisimka na vipele vya baridi hutokea mwili mzima imefikia stage sizimagi taa usiku. Nikistuka naanza kupiga maombi hadi napitiwa tena na usingizi.
Chumvi ni uchawi kivipi mkuu..na kwenye Bible imeongelewaSala! Hizo chumvi ni uchawi tu
Mungu hachagui ndiyo maana wanasema mvua hunyesha kwa wema na wabaya, magugu yatachambuliwa mwishoniAmshukuru Mungu yupi? Mtu asiyeamini kuwa giza lipo hata nuru haamini kama ipo
Ila acha woga, mtegemee sana Mungu. Kuna mdada mmoja pia aliwahi kufanyiwa hivyo vimbwanga kama vyako, aliugua sana tu.Hio ni sauti ya nyanyo kusota mkuu, yani hawa wase nge huwa natamani kama ningekuwa na bainokolaz niweze kuwaspot na kuwaharibia.
Mie huwa napata hali ya msisimko haswa. Yani nywele husisimka na vipele vya baridi hutokea mwili mzima imefikia stage sizimagi taa usiku. Nikistuka naanza kupiga maombi hadi napitiwa tena na usingizi.
Wapi, kwenye Bible???Chumvi ni uchawi kivipi mkuu..na kwenye Bible imeongelewa
Ndio naamini hilo ila sasa shida ni ile kero ya kustuka niteIla acha woga, mtegemee sana Mungu. Kuna mdada mmoja pia aliwahi kufanyiwa hivyo vimbwanga kama vyako, aliugua sana tu.
Ni kumuomba Mungu kusoma Neno lake basi hakuna njia nyingineDah yani Dar sie ambao hatuko mlengo wa kushoto wala kulia tunanyanyasika sana yani.
Sometimes unatembea koridoni unaingia toilet usiku. Mlangoni unapopita unaskia msisimko wa ajabu.
Ni kweli ndio maana hata wanaomkana anawatunza. Point yangu ni kwamba, huyo unayesema amshukuru Mungu wakati Mungu mwenyewe haamini kama yupo atamshukuru vipi?Mungu hachagui ndiyo maana wanasema mvua hunyesha kwa wema na wabaya, magugu yatachambuliwa mwishoni
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Yani kitaa kuna wachawi kinomaNi kumuomba Mungu kusoma Neno lake basi hakuna njia nyingine
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app