Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Yeye alikua anatokewa na watu live chumbani wamelala sio nje ya kimaigizo kama yenu hiyo, yani chumbani wamelala mchawi anajitokeza taa inawaka, mwanamke kajifunika buibui jeusi juu mpaka chini huoni hata miguu
Wengine utakuta wanafanyiwa mapenzi wanaamka wamelowa kabisa.
 
yaani kama kwangu aisee,kuna kipindi nilikuwa nikilala kuna milango ya vyumba vingine ilikuwa inajifungua yenyewe ni vyumba vilikuwa havitumiki kabisa
 
yaani kama kwangu aisee,kuna kipindi nilikuwa nikilala kuna milango ya vyumba vingine ilikuwa inajifungua yenyewe ni vyumba vilikuwa havitumiki kabisa
😂😂 Nyumba yako Ina mauzauza khaaa
 
Atakuwa anaamini kwamba upo ila hajawahi kukutana nao. But usiombe ukutane na hiyo balaa, afadhali usimliwe na jirani
Naamini Uchawi ni Imani isiyo na Ukweli wala uhalisia

Imani yoyote unaweza kufanya kile anachoamini mwenye Imani hiyo
 
Kuwarithisha Imani ya kichawi ni kawaida kwa waafrika lakini si uhalisia.

Uchawi ni IMANI, na Imani ni kuamini kitu ambacho yamkini hakipo lakini unaweza kuamini tu huzuiwi na unaweza kuwarithisha kizazi kizazi Imani hiyo hata kama haina uhalisia

Ni sawa na habari ya kusema Mwanamke anambemenda mtoto pale atakapofanya mapenzi na Mwanaume asiye Mume wake kipindi ananyonyesha, Waafrika wanaamini habari ya kubemenda lakini kiuhakisia na kisayansi(ambayo ni uhalisia) hakuna kitu kama hicho.

Sijui kama umeelewa.
Uchawi ni real aisee!
 
Kumroga Mzungu Kunahitaji Timing sana!
Hawarogeki Mkuu kwasababu hawaamini kama kuna uchawi wako wa kuweza kuwaroga, wanaamini katika technology na skills

Mzungu anaogopa teknolojia na weledi kuliko uchawi, ukiweza kutengeneza silaha za nyuklia na bunduki za hatari kuliko za kwake atakuogopa lakini sio umwambie utamwendea Sumbawanga kumroga

Utaenda mwaka mzima hakuna chochote
 
Dah yani Dar sie ambao hatuko mlengo wa kushoto wala kulia tunanyanyasika sana yani.
Sometimes unatembea koridoni unaingia toilet usiku. Mlangoni unapopita unaskia msisimko wa ajabu.
Usiogope sana, wakati mwingine ni hisia za kawaida kabisa za mwili. Lakini uchawi pia upo
 
Back
Top Bottom