Kuwarithisha Imani ya kichawi ni kawaida kwa waafrika lakini si uhalisia.
Uchawi ni IMANI, na Imani ni kuamini kitu ambacho yamkini hakipo lakini unaweza kuamini tu huzuiwi na unaweza kuwarithisha kizazi kizazi Imani hiyo hata kama haina uhalisia
Ni sawa na habari ya kusema Mwanamke anambemenda mtoto pale atakapofanya mapenzi na Mwanaume asiye Mume wake kipindi ananyonyesha, Waafrika wanaamini habari ya kubemenda lakini kiuhakisia na kisayansi(ambayo ni uhalisia) hakuna kitu kama hicho.
Sijui kama umeelewa.