Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Dah yaani mimi kwa jinsi nilivyowachoka hadi natamani nipande connection za wataalamu kutoka mozambique,nigeria,congo waje kuangamiza hawa washenzi
Hapo ndipo unapokosea. Hao wote ni members wa ufalme mmoja wa giza. Unahitaji nuru kutoka katika ufalme wa Nuru.
 
Usiye na akili ni wewe unayeamini UJINGA

Imani ya kichawi ni sababu kubwa iliyowarudisha nyuma watu weusi

Badala ya kuwekeza katika elimu na teknolojia wakawekeza katika Imani ya kishenzi kama unayoamini wewe Mshenzi
 
mkuu acha kabisa kuna watu wanaweza hizi kazi.
Sema tu wamenikuta nina roho ngumu na mke wangu pia kauzu ingekuwa ni watu wengine wangehama na kuikimbia nyumba
Mtegemee sana Mungu, sali sana, soma Bible pia hiyo ndiyo ndawa hakuna nyingine
 
mkuu acha kabisa kuna watu wanaweza hizi kazi.
Sema tu wamenikuta nina roho ngumu na mke wangu pia kauzu ingekuwa ni watu wengine wangehama na kuikimbia nyumba
Hakuna kukimbia ni kuomba tu, kuna nyumba moja niliwahi kuta dumu la maji lita 10 lipo juu yakitanda tena kwenye net kabisa na mtu kanyoosha miguu na hakuligusa kashuka kitandani kawasha taa anaona dumu la maji nayeye ni mrefu anafika huko lilipo[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mzungu harogeki kakwambia nani?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Usiye na akili ni wewe unayeamini UJINGA

Imani ya kichawi ni sababu kubwa iliyowarudisha nyuma watu weusi

Badala ya kuwekeza katika elimu na teknolojia wakawekeza katika Imani ya kishenzi kama unayoamini wewe Mshenzi
Uchawi uko kila mahali, ila ukikuta kwenye jamii zinazoamini mambo fulani za kitamaduni kwa sababu ya ushirikina, huwa hakuna maendeleo. Lakini hata wasomi, matajiri, na kadhalika, uchawi hauchagui kabisa. Uko kila mahali.
 
Kumbe hujui kitu aisee! Hakuna jamii wasiyokuwepo wachawi. Huko ndiyo balaa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…