Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Mazingaombwe zile ni acting tu mkuu..hata mimi najua some tricks zakubadili mchanga uwe pipi
 

Kwahiyo chochote amacho hakina logical explanation au hatujui ni uchawi? Kwanini kisibaki kutojulikana mbaka hapo kitapojulikana badala ya kukimbilia ni uchawi au Mungu.
 
nimekwambia naamini mungu yupo,,,ila shetani jini sijui uchawi hivyo vyote siamini hata dhambi siamini kama kuna dhambi
Sidhani kama huamini kama Shetani ama dhambi havipo. Nadhani ukweli sahihi hapo ni kwamba hujui maana ya dhambi au Shetani. Kwa description ya kitu fulani kinaendana na uhalisia uliopo, kudai tena eti hakipo ni kuukana tu ukweli. The existence of the devil and sin is as real as our own presence, you can only deny it fruitlessly.
 
Mungu alietumba sisi binadamu naamin yupo,,ila izi mambo za uchawi mashetan majini malaika siamin kama vipo
Itabidi labda tuanzie hapo. Unamwamini Mungu kuwa nini nani!? (In short, huwezi kuamini kwamba Mungu yupo halafu ukashindwa kuamini kwamba Shetani yupo na kwamba wachawi wapo, unless hujui maana ya Mungu).
 
mkuu niamini mm uchawi sijui majini shetani ni story tu,,, ngoja nikitulia ntakuletea kisa changu kwann nawaambia uchawi ni stori tu
Basi, tunangoja kwa hamu kisa hicho, kinaweza kikatusaidia kukuelewesha zaidi.
 
Kwahiyo chochote amacho hakina logical explanation au hatujui ni uchawi? Kwanini kisibaki kutojulikana mbaka hapo kitapojulikana badala ya kukimbilia ni uchawi au Mungu.
Umeninukuu vibaya. Nimesema generally uchawi ni counterintuitive, supernatural, beyond reasonable explanation. Ambacho sijasema ni kwamba kitu chochote ambacho ni counterintuitive, supernatural, beyond reasonable explanation ni uchawi. Kama utanielewa vizuri, uchawi ni subset ya "counterintuition, supernatural power, etc."
 
Kuna watu matapeli wanaowadanga wagonjwa kwamba kuna nguvu za kishirikina nyuma ya matatizo yao, lakini hiyo haiondoi ukweli huu tunaojaribu kuuzingumzia, ya uwepo wa uchawi.
 
Niroge au tafuta mchawi aniroge acha ngonjera.
Mimi sikuombei urogwe wala siwezi kukufanyia majaribio. Inaonekana wazi kuwa hujui maana ya uchawi ama umejitoa ufahamu makusudi. Kwa sababu hata ungerogwa, huwezi hatimaye kuappriciate (kutambua) kwamba umerogwa. You are playing on fruitless logic ambayo kimsingi haina msaada wowote. But, luckily, kuna countless, real stories juu ya uchawi ambazo almost kila mtu ameshuhudia. So, siyo kitu kigumu kiasi hicho kuthibitisha. Tatizo tu labda liwe binafsi kukiri uhalisia wake. But kitu kama uchawi wala haihitaji kumlazimisha mtu aamini uwepo wake kwa sababu ni dhahiri shayiri.
 
Mungu alietumba sisi binadamu naamin yupo,,ila izi mambo za uchawi mashetan majini malaika siamin kama vipo
Mungu aliyewaumba nyie "binadamu" vitabu vilivyomuelezea vinakubali uchawi upo.

Sasa unamkubali huyo Mungu halafu unavikataa vitabu vinavyomuelezea uwepo wake?
 
Kwanza kabisa hujui uchawi mkuu hata maana yake, hujui hata kitu unachotaka kukibisha, uchawi una lengo la kumweka mtu matatizoni ama kuweweseka,

Hio TV mtu unacheki mechi ya mpira unaoata burudani inakuaje uchawi sasa??

Muwage mnafanya hata karusechi ka maana ya neno,
 
Hapa jamii forums watu wakiwa nyuma ya keyboard wanakua na misimamo ya kushangaza sana,unaweza hisii wote wako ulaya huko kwa jinsi wanavyo dharau na kubisha kwamba uchawi hakuna. Uchawi upo sana hapa Africa na majority ya watu wana practice kwa mdgumuni mbali Mbali.

Wengine wanaenda kwa wataalam wa asili kupata kinga za biashara zao ,afya na familia,wengine wanaenda kuroga kwa sababu ya mapenzi aidha wake au kuolewa,kulipiza kisasa nk. Haya mambo yamenikuta kama mhanga wa hii kitu usiombe,sikia tu kwa mwingine.
 
Uchawi ni nini? Unaweza kuu define uchawi ni nini?

Ukisema "uchawi una lengo la kumuweka mtu matatizoni" bado huja define uchawi, kwa sababu hata uongo unaweza kuwa na lengo la kumuweka mtu matatizoni, hata kumpiga mtu risasi kunaweza kuwa na lengo la kumuweka mtu matatizoni.

Unaweza kuthibitisha hicho unachofikiri ni uchawi ni uchawi kweli na si kitu kingine ambacho hukijui tu?
 
Good point. Watu wanadhani uchawi ni kaujuzi tu ka namna yake ambako mtu anaweza kujifunza kama anavyofanya mcheza-mpira. Wanasahau kwamba uchawi ni ibada ya mashetani. Nguvu za giza giza zinatoka kwa Iblisi baada ya mtu kumwamini na kumpatia utashi wake.
 
Kama huamini nenda youtube kasachi matukio ya kichawi kwenye michezo hasa mpira wa miguu.
 
Mimi nimeshaomba sana wachawi waniroge ila wanaishia kubwabwaja tu.

Hata hapa nimeshawaambia wachawi waniroge. Kama wanataka kucha au sehemu ya nywele zangu au kipande cha nguo waje kuchukua

Huwa wanaishia kutishia tu.
Hawapo huku mkuu, nenda vilingeni kwao uje tuletee ushuhuda
 
Absolutely. Watu wamejizoeza kwenye uganga, uchawi na ushirikina kiasi kwamba imekuwa sehemu ya maisha; watu hawawezi kutambua tena kama ndio uchawi wenyewe. Halafu uchawi uko kila mahali, siyo kwa Waafrika peke yao. Kila jamii ya watu wanapojitenga na Mungu, by default, wanakuwa wamejiweka chini ya utawala wa giza wa mashetani.
 
Keyword katika kudifaini uchawi ni "supernatural influence." Hii ni nguvu ambayo kimsingi haiwezekaniki na wala haielezeki kwa namna yoyote ya fikra za kawaida kibinadamu. It is simply beyond reason.
 
Kuna sister alienda chimbo anataka kuolewa na yule Mzee akamfanyia kazi Kisha akamwambia mwanaume wa 3 kukutongoza ukirudi town lazima akuoe kwa harusi ndani ya siku 90 zijazo. Wiki mbili zilizopita tumekula wali ndani ya time frame ile ile ya mtaalam.
 
Kuna mtu keshawai nisingizia Uchawi... Wewe Dada Rachel ..Mimi hayo mambo Wala siyajui maskini... Sijui nilikufanyaje Hadi ukaniita Mchawi... Nimemuachia Muumba wa mbingu na ardhi... Anitetee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…