Unaruhusa kuwaza kwa uhuru, lakini huwezi kupinga nguvu za giza kwa akili yako peke yake. Mambo mengi ya Kimungu na nguvu za giza mara nyingi sana hupingana ama huenda kinyume na logic ya kawaida ya mwanadamu, ndiyo maana wengine wanakataa havipo vitu hivyo. You cannot logically reason about the reality of the existence of God and the devil. Huwa zinakinzana na logic ya mwanadamu, kwa sababu ya ufinyu wa mawazo yetu. Imagine hata kwenye "electromagnetic spectrum," range ya miali tunayoweza kubaini kwa macho yetu tu ni ndogo sana -- visible light, basi. Sasa hatujui ni vitu vingi kiasi gani tusivyoweza kujua, na viko countless.