Huwa wanajificha kwa njia hiyo yakukataa hakuna uchawi kumbe wao ndiyo waturutumbi wakubwaFuatilia kuna watu wanaitwa lambalamba maeneo ya nyanda za juu kusini wanafanya nini?
Pia watu ambao wanasema hakuna uchawi mara nyingi hao ndiyo wachawi.
Huo ni Uongo, mbona nilipo haupo?Uchawi upo kila mahali
Aisee! Usikute hata haya maneno siyo yako, umehamilishiwa kwa nguvu za giza!Mimi nimeshaomba sana wachawi waniroge ila wanaishia kubwabwaja tu.
Hata hapa nimeshawaambia wachawi waniroge...kama wanataka kucha au sehemu ya nywele zangu au kipande cha nguo waje kuchukua
Huwa wanaishia kutishia tu.
Wewe ulishaona mchawi akawa na akili? Angekuwa nazo asingeroga mwanaye, niwajinga jumla.Kwanini hawakuwaroga wakoloni wafe au wawe walemavu?
Shukuru kwamba uko salama, ila usiuombe; ukiutamani unaweza kukutwanga sawasawa siku usiyofahamu, utasimulia maisha yako yote.Huo ni Uongo, mbona nilipo haupo?
Unaweza kuupiga picha au kuurekodi unitumie pls?
Mbona mkoloni alituchapa viboko na kutubuluza tulishindwa nini kumroga?Hizo ni vipengele vingine pia vya nguvu ya giza. Uchawi is simply power of darkness. Sasa inajitokeza na kutenda kazi kwa namna mbalimbali, kulingana na mazingira. Kuna uchawi wa kisomi, uchawi wa kitajiri, uchawi wa mazingira ya umaskini, uchawi wa maeneo kama vile baharini, misituni, nk.
Hujaweka justification yoyote ya uchawiHapo umewaza kwa ufinyu sana, aisee! Unadhani kuna mtu ama taifa lenye hatimiliki ya uchawi na nguvu za giza??? Uchawi ni mtandao mpana wenye lengo na mipango yake. Wanadamu ni chambo tu. Nguvu za giza zinatofautiana, na zinatokea kwa huyohuyo Ibilisi.
Kwani wachawi wote wanaroga watoto wao?Wewe ulishaona mchawi akawa na akili? Angekuwa nazo asingeroga mwanaye, niwajinga jumla
Uchawi unategemeana na mazingira; kwa wenye elimu kuna uchawi sawa na levels za waelimika; kwa watu wajinga na wasio na elimu pia kuna uchawi unaokubaliana na kiwango na uwezo wa maarifa, imani na fikra zao.Wewe ulishaona mchawi akawa na akili? Angekuwa nazo asingeroga mwanaye, niwajinga jumla
Jibu maswali niliyokuuliza usiniletee matisho uchwara ya kitoto hapa.Shukuru kwamba uko salama, ila usiuombe; ukiutamani unaweza kukutwanga sawasawa siku usiyofahamu, utasimulia maisha yako yote.
Uliuona wapi huo uchawi?Shukuru kwamba uko salama, ila usiuombe; ukiutamani unaweza kukutwanga sawasawa siku usiyofahamu, utasimulia maisha yako yote.
Pyeeee....Aisee! Usikute hata haya maneno siyo yako, umemilishwa na nguvu za giza!
Uko wapi? Unafananaje?Huwa wanajificha kwa njia hiyo yakukataa hakuna uchawi kumbe wao ndiyo waturutumbi wakubwa
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisaUchawi unategemeana na mazingira; kwa wenye elimu kuna uchawi sawa na levels za waelimika; kwa watu wajinga na wasio na elimu pia kuna uchawi unaokubaliana na kiwango na uwezo wa maarifa, imani na fikra zao.
Mie binadamu nitajificha wapi zaidi ya kujificha kwenye damu ya {YESU}.Uko wapi? Unafananaje?
Mmeanza kukizana wenyewe.Uchawi unategemeana na mazingira; kwa wenye elimu kuna uchawi sawa na levels za waelimika; kwa watu wajinga na wasio na elimu pia kuna uchawi unaokubaliana na kiwango na uwezo wa maarifa, imani na fikra zao.
Nadhani hatubishani.Hujaweka justification yoyote ya uchawi
Habari ya taifa kutokuwa na hatimiliki ya uchawi umeitoa wapi? Nani kasema hayo?
Umesema Mwanadamu anatumika kama chambo tu, sasa nijibu maswali yangu kinagaubaga ili tuendelee na mada
Uchawi ni nini?
Mchawi ni nani?
Umeenda mbali kabisa na swali nililouliza. (OQ)Mie binadamu nitajificha wapi zaidi ya kujificha kwenye damu ya {YESU}.
Uchawi haunaga mlango mmoja aisee! Lengo la uchawi ama nguvu za giza ni kuvuruga kabisa mfumo wa dunia, kuwachanganya wanadamu, na kuwaangamiza. Sasa mbinu zinatofautiana. Watoto wanaweza kurithishwa uchawi, au kurushiwa uchawi na jamaa zao. Wanaweza pia kutolewa kafara.Kwani wachawi wote wanaroga watoto wao?
Mbona huwa wanawarithisha?
Sahizi usiku acha nilale nasinzia wewe endelea na waturutumbi wenzio.Umeenda mbali kabisa na swali nililouliza. (OQ)
Nimekuuliza uko wapi huo uchawi wewe umenitajia Damu ya Yesu.