Kunywa maji ufunge tu kinywa chako.Mimi huwa nasikia na Hakika naamini zote ni za kutungwa
Umesema vipo visa halisi, hivyo ndivyo nahitaji kupata kutoka kwako
Ulishuhudia uchawi lini? Wapi?
Mbona hamsemiii? Kuna ishu, si useme ni issue gani tutathmini kama ndio uchawi huo tujue?Kuna issue imenikuta juzi kati hapa,akaja Mtu akaniambia nihame au nivute masheikh.
Mie nikaamua kumchana tu Huyo anayesemekana ni muhusika, sijui nitasalimika!
Sio lazima, Mimi sijawahi kumwona Mungu face to face ila nilishaeleza kwanini naamini yupo tena kwa mambo yanayoonekana wazi kwa kila mtukunywa maji ufunge tu kinywa chako..
huu ulimwengu wenye Imani ya Mungu una shetani pia.
Sina haja ya kuprove chochote to make you just believe, then?Mbona hamsemiii? Kuna ishu, si useme ni issue gani tutathmini kama ndio uchawi huo tujue?
Mawanda ya uchawi ni mapana sana; unaweza kukuta hawa jamaa ambao wao kimsingi ikifika mida yao, kwenye vilinge vyao wanapanga maeneo au mitaa ya kuzunguka kurugaruga.Mbona hamsemiii? Kuna ishu, si useme ni issue gani tutathmini kama ndio uchawi huo tujue?
Msingehama aiseee! Hao kuna nguvu ya kupambana nayo, labda kama nanyi mlikuwa mmejiweka kwenye nguvu hizo za giza. Uchawi upo, lakini hupaswi kabisa kuugopa; wewe ndiye unaweza kuuvuta au kuupinga kulingana na uchaguzi wako mbalimbali. Uchawi na ushirikina na hata nguvu za giza kwa ujumla zina anga zake ("superstition culture"), ambapo ukijiweka hapo ama phisically au mentally/psychologically, tegemea kuteswa au kitumikishwa na mashetani.nishafinywa usiku na mtu nisiemuona, nishapigwa makofi na mtu nisiemuona mchana kweupe nyuma ya nyumba yetu nikiwa nimelala kwenye mkeka, na mwisho tushamdaka mchawi usiku hakuganduka ndani pale sebuleni mpaka shangaz yetu mtaalam alivyokuja kumgandua, na nyumba tuliikimbia baada ya shangaz kusema kwamba tumetangaza vita na wachawi baada ya mwenzao kuaibishwa, na pia yeye hiyo vita haiwezi, ilibidi harudi zake bush, na sisi tukahama ili kukwepa mabalaa, leo hii unaniambia nisiamini uchawi kama upo, ngoja yakukute.
Hiyo ya kwanza, Yes!Uchawi Upo na kuushinda ni njia mbili tu
1. Muombe Mungu sana ukweli wa kumuomba na fanya ibada.
2. Tokea walipo ingilia.
Actually, Mungu ni invisible. Mashetani nao ni invisible. Wachawi wanapata hiyo nguvu ya invisibility kutoka kwa huyo bosi wao. Ndiyo maana wachawi wanaoonekana au wasionekane. NaPo inategemea na aina ya uchawi wenyewe kuna grades/viwango mbalimbali.Sio lazima, Mimi sijawahi kumwona Mungu face to face ila nilishaeleza kwanini naamini yupo tena kwa mambo yanayoonekana wazi kwa kila mtu
Sitaki kuelezea kwenye mada hii, ile ni independent.
Unatakiwa uwe na ujasiri wa Kimungu, hapo unashinda au angalau unakuwa katika mikono salama.kuna issue imenikuta juzi kati hapa,akaja Mtu akaniambia nihame au nivute masheikh..
mie nikaamua kumchana tu Huyo anayesemekana ni muhusika
sijui nitasalimika..!
Kuna wanaosaidika, wapo wanaoweza kuchagua, kwa sababu wazijuazo wenyewe, kuendelea kubishana na ukuta. Lakini hii kitu iko wazi sana. Wala haihitaji ushabiki kama soka.Kutumia nguvu na muda wako kumuelewesha na kumthibitishia mtu kuwa uchawi upo ni upotevu wa muda na nguvu zako.
Ukishampa makavu, wala hakufanyi kitu,Kuna issue imenikuta juzi kati hapa,akaja Mtu akaniambia nihame au nivute masheikh.
Mie nikaamua kumchana tu Huyo anayesemekana ni muhusika, sijui nitasalimika.
Itakuwa peni imemteleza; alimaanisha "nawachukia"Unawachukuaje mkuu? Embu fafanua zaidi....
Hatari sana. Kila mahali mawakala wa uchawi wameenea sana tu. Lakini mtu hatakiwi kuogopa kwa sababu kuna nguvu kubwa zaidi inayopiku na kunyutrolaizi kabisa uchawi, ushirikina, urogaji.Ukishampa makavu, wala hakufanyi kitu,
Sema. Mimi mtaa niliokuawa nakaa wachawi walikuwa wengi sana hujui yupi ni yup
Even nje ya Bible na vitabu vya dini, inajulikana kabisa hiyo kitu ni halisi. Ndiyo maana utasikia watu wanatafuta mbinu za kujikinga na uchawi.Biblia yenyewe inathibitisha uchawi upo Mimi ni Nani nibishe