Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Muwe mnasikai tu fulani karogwa, anasumbuliwa na wachawi usiku, n.k haya mambo yakiwakuta.

Binafsi nilikaa nyumba moja, ikifika saa saba kuna vishindo mithiri ya mtu anakwangua ukuta kwa nondo, na hii ilikuwa kwa wapangaji wote ila ukitoka nje kucheku huko nyuma hakuna kitu.

Ni mpaka siku moja mida hio saa saba kikalia kishindo kikubwa sana paaaa! juu ya bati kila mpangaji alitoka nje ila hakukuonekana kitu, baada ya kufatilia kumbe kuna mlangaji moja alikuwa anateswa na hawa watu usiku, babu yake alikuja siku hio hapo na kuweka mtego wake.

Tukio lengine kuna mtoto moja alikuwa na miaka mitano alikuwa mzima wa afya, ghafla akawa kipofu, kiziwi na hata kushindwa kuongea, Wazazi wake wakagundua hii hali si kawaida, walimpeleka hospitali nyingi muhimbili, kcmc, n.k ilibidi apelekwe kijijini kwa mzee wake, siku hio hio walirudi na mtoto akawa hali ya kawaida kabisa

Mwengine nakumbuka alivimba sana miguu, walimsihi sana waende kwao kuchekiwa ila alikua haamini hvi vitu, hata miezi miwili haikufika tukamzika.
Giza kwa giza uponyaji wake ni wa muda mfupi, giza na mwanga ndiyo dawa pekee
 
Muwe mnasikai tu fulani karogwa, anasumbuliwa na wachawi usiku, n.k haya mambo yakiwakuta.

Binafsi nilikaa nyumba moja, ikifika saa saba kuna vishindo mithiri ya mtu anakwangua ukuta kwa nondo, na hii ilikuwa kwa wapangaji wote ila ukitoka nje kucheku huko nyuma hakuna kitu.

Ni mpaka siku moja mida hio saa saba kikalia kishindo kikubwa sana paaaa! juu ya bati kila mpangaji alitoka nje ila hakukuonekana kitu, baada ya kufatilia kumbe kuna mlangaji moja alikuwa anateswa na hawa watu usiku, babu yake alikuja siku hio hapo na kuweka mtego wake.

Tukio lengine kuna mtoto moja alikuwa na miaka mitano alikuwa mzima wa afya, ghafla akawa kipofu, kiziwi na hata kushindwa kuongea, Wazazi wake wakagundua hii hali si kawaida, walimpeleka hospitali nyingi muhimbili, kcmc, n.k ilibidi apelekwe kijijini kwa mzee wake, siku hio hio walirudi na mtoto akawa hali ya kawaida kabisa

Mwengine nakumbuka alivimba sana miguu, walimsihi sana waende kwao kuchekiwa ila alikua haamini hvi vitu, hata miezi miwili haikufika tukamzika.
Hapo uliposema mpanagi mmoja ndiyo alikua anafuatiliwa hukaweka bayana babu yake alivyokuja akafanyaje sasa
 
Muwe mnasikai tu fulani karogwa, anasumbuliwa na wachawi usiku, n.k haya mambo yakiwakuta.

Binafsi nilikaa nyumba moja, ikifika saa saba kuna vishindo mithiri ya mtu anakwangua ukuta kwa nondo, na hii ilikuwa kwa wapangaji wote ila ukitoka nje kucheku huko nyuma hakuna kitu.

Ni mpaka siku moja mida hio saa saba kikalia kishindo kikubwa sana paaaa! juu ya bati kila mpangaji alitoka nje ila hakukuonekana kitu, baada ya kufatilia kumbe kuna mlangaji moja alikuwa anateswa na hawa watu usiku, babu yake alikuja siku hio hapo na kuweka mtego wake.

Tukio lengine kuna mtoto moja alikuwa na miaka mitano alikuwa mzima wa afya, ghafla akawa kipofu, kiziwi na hata kushindwa kuongea, Wazazi wake wakagundua hii hali si kawaida, walimpeleka hospitali nyingi muhimbili, kcmc, n.k ilibidi apelekwe kijijini kwa mzee wake, siku hio hio walirudi na mtoto akawa hali ya kawaida kabisa

Mwengine nakumbuka alivimba sana miguu, walimsihi sana waende kwao kuchekiwa ila alikua haamini hvi vitu, hata miezi miwili haikufika tukamzika.
Kuna mtumishi wa Mungu mmoja namjua ni rafiki yangu sana sana, kuna eneo nilimpatia aweke makazi alikutana na vimbwanga sio mchezo, alikua anasikia sauti na vishindo nje ya nyumba, na ilifika mahala walikua wanatokea na watu live yani live jicho kwa jicho lakini hakuacha kuomba
 
Hizo ni imani tu na wenge lenu usiku

Hakuna kitu kama hicho (uchawi) uyo mtoto aliyekuwa kipofu, kiziwi nk apelekwe hospitali utapewa chanzo na nini kifanyike
Hayajakukuta siku yakikukuta ndio utaelewa waafrika ni watu wa namna gani
 
kuna jamaa mmoja jirani yetu alikua na kacheo fulani uko mkoani Mara sijui alifanyaga kitu gani ila alilogwa alikuaga anakunya mawe yamoto walihangaika sana bila tiba mpaka walipofilisika nayeye akafa ndo niliamini uchawi upo
 
Kuna mtumishi wa Mungu mmoja namjua ni rafiki yangu sana sana, kuna eneo nilimpatia aweke makazi alikutana na vimbwanga sio mchezo, alikua anasikia sauti na vishindo nje ya nyumba, na ilifika mahala walikua wanatokea na watu live yani live jicho kwa jicho lakini hakuacha kuomba
Sisi wenyewe tulishamfanyia baba mdogo vimbwanga ili ahame alipokua anaishi kinyume na sheria mpka leo anaamini ni uchawii na huwezi mbadilisha....kumbe wajuba tulitupia mashuka meupe na nukuchezea akili yake tu
 
Chadema na ACT wanalialia kila siku wanonewa na CCM
Kwanini kwa miaka yote CHADEMA CUF na ACT wasitafute wachawi na wakawatumia kuwaroga vingozi wakubwa wote wa CCM wakafa
Na wakati huo huo CCM nao kwanini wasiwaroge viingozi wakubwa wa CHAADEMA CUF ACT ambao wamekuwa wasumbufu na badala yake wanawaua kwa risasi na kuwateka kama vile Lissu au Ben 8
Swali kama uchawi una nguvu na upo kwanini mtamia njia ngumu kama hizo
 
Sasa wewe MUHA una chale mpaka za unyolo unategemea watakugusaje. Wakati wanakuona untouchable.
Siyo untouchable; ukijisajili unakuwa mwanachama wao, na wanakutumia kwenye misheni na mikakati yao ya giza. Usitegemee Shetani akawa na uadui na agents zake. Hawa wanakuwa na uhasama na wale wanaowapinga -- watu wale ambao wako chini ya UFALME WA NURU.
 
We unafikiri Magu yuko kixeng xenge pale. Ha ha my friend wanasiasa wana kamati za Ulinzi mpaka katika ulimwengu usioonekana, chukulia mfano ile mambo ilimkutaga kusini kipindi ile bila kuwa imara unafikiri ingetokea nini?...Watu wapo vizuri mno!

Njia rahisi ya mtu ambaye haamini uchawi ni kujiingiza kwenye siasa kwa ku compete na nguli nakupa mmoja tu wa fasta. Nenda kagombee jimbo la Christopher Mulugo Songwe huko...
Mwambie kwanini watu hawajaenda Lwangwa kupiga kampeni, unajua hao wanapinga wanakuwa ni mawakala tena wachawi wakubwa wanapumbaza ili watu wasijue siri zao, wenyewe ni waturutumbi wakubwa kabisa

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mwambie kwanini watu hawajaenda Lwangwa kupiga kampeni, unajua hao wanapinga wanakuwa ni mawakala tena wachawi wakubwa wanapumbaza ili watu wasijue siri zao, wenyewe ni waturutumbi wakubwa kabisa

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hahahah kuna maeneo yamoto sana, huko kuna kamati za hali ya juu katika ufalme wa giza😂😂😂
 
Umeongea point kubwa sana wengi wanaosema kuna uchawi wanakuwa wameathirika kiakili
Mm siwezi kuogopa kitu ambacho kwnza hakipo na hakina nguvu mpk ukiogope au kikutie hofu ndio kifanye kazi huoni hapo ni psychological disoder na wala sio uchawi
Haupaswi kuugopa uchawi kwa vyovyote vile, kwa sababu hata ukiuogopa huwezi kuudhibiti kwa hofu yako. Hofu na woga vinamfanya mtu awe vulnerable zaidi. Hii ni njia ambayo wengi huitumia kukutisha ili utafute ulinzi kwenye himaya yao ya giza. Hakuna eneo lolote la mwili wa mwanadamu asikoweza kushambulia Iblisi. Anashambulia akili, nafsi ya ndani ya roho na hisia, na mwili. Na anafanya kirahisi na kiustadi mkubwa, ukiwa mbishi huwezi kudhani ni nguvu ya giza. Kumkana Shetani kwa akili tu ni kazi bure.
 
Nafunga mjadala uchawi ni imani kama vile uislam au ukristo au budha hivyo haimanishi uchawi una nguvu hapana hizo ni imani
Na imani maana yake kuamini jambo ambalo huna uhakika kama lipo na la kweli that's why wachawi wengi hawafanikiwi kama wanaamini uchawi una nguvunguvu kwawasitumie kupata mafanikio
Uchawi huambatana na Hallucination na Delusion mojawapo ya dalili za shuzophrnia na ili uchawi upate kukupata lazima uwe na hofu kuwa uchawi upo na una nguvu na unaweza kukidhuru
Na endapo usipo kubali kuwa uchawi haupo na akili yako ikawa resist uchawi hauwezi fanya kazi
Hitimisho uchawi ni imani kama vile imani nyingine wala huitaji kuogopa mm nakuja na bastola halafu wewe njoo na uchawi wako halafu tuone nani atakuwa mshindi rejea yaliyotokea vita vya maji maji
Watu walikufa wengi wakiamini uchawi upo wakipigwa risasi wanakufa wakiamini wakisema maji eti risasi zigeuke maji La Haula ni ujinga wa kiwango cha juu
 
Ila yote kwa yote Jamani..ombeni msiwe na mchawi kwenye familia au ndugu wa karibu either wa baba au mama na awe amewaweka kwenye target yake..Jamani..Tushukuru tu nguvu za Mungu zipo.
Mtajuta maisha yote watu wanakuwa wanawaona hamjielewi kumbe kuna mtu kawaweka target, usiombe haya, ukimjua Mungu ndiyo utajua vita hii si yakitoto

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Haupaswi kuugopa uchawi kwa vyovyote vile, kwa sababu hata ukiuogopa huwezi kuudhibiti kwa hofu yako. Hofu na woga vinamfanya mtu awe vulnerable zaidi. Hii ni njia ambayo wengi huitumia kukutisha ili utafute ulinzi kwenye himaya yao ya giza. Hakuna eneo lolote la mwili wa mwanadamu asikoweza kushambulia Iblisi. Anashambulia akili, nafsi ya ndani ya roho na hisia, na mwili. Na anafanya kirahisi na kiustadi mkubwa, ukiwa mbishi huwezi kudhani ni nguvu ya giza. Kumkana Shetani kwa akili tu ni kazi bure.
Safi umejibu vzr soma post yangu ya mwisho hapo chini kuhusu yaliotokea vita vya maji maji
 
Uchawi haupo that's why hata wewe huujui
Kama unaujua uchawi naomba unieleweshe uchawi ni nini?
Na nikiuona nitaujuaje?
Ni kama upepo, hauonekani kwa macho, ila athari zake ni wazi kabisa, na zinatambulika. Ndiyo maana uchawi ni nguvu za giza. Imagine mtu anaweza kuhamishwa ndani anakolala, akabebwa kishirikina na kulazwa nje, asubuhi akiamka yuko nje, na milango alikuwa amefunga!
 
Back
Top Bottom