Mimi huwa nasema kuwa, madai mengi ya uchawi au mtu kurogwa, most likely huwa ni brain disorders.
Kibongo bongo bado tuko nyuma sana kwenye mambo ya ufahamu juu ya hizo brain disorders.
Kuna brain disorder moja inaitwa Alice in Wonderland Syndrome.
With Alice in Wonderland syndrome, you may experience episodes of feeling larger or smaller than you are. Learn why this happens and more.
www.healthline.com
Hii mtu akiwanayo bongo, kwa mfano tu, culprit namba moja atakuwa ni ‘uchawi’.
Fungua hiyo link uone AIWS ni nini na dalili zake ziko je. Mambo ya size distortion, perceptual distortion, time distortion
Halafu nambie kama ikimtokea mtu bongo ataenda spitali kwa psychiatrist au ataenda kwa mganga...
Halafu bongo kuna psychiatrists wa kutosha kweli?