Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we ebu lala Bado saa 10 alfajiri,au umeachika nipe location Nike nimalizie usingiziAsubuhi ya leo nimeibiwa kuku wa nyama 200+ na wababa wa tano tena wana nguvu zao tu jamani😭😭😭
Alikuja mmoja na boda akasema nataka kuku 100, kaja saa12 alfajir akasema ngoja nikachukue tenga
Kurudi kaja na wababa 4 wana pickup nyeupe😭😭😭😭😭😭😭😭😭
yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60Wameiba au umewapa bure?
wanatumia uchawi, pole sana wengi wameibiwa kwa style hiii hii, hutakiwi kuwaruhusu wahesabu wenyewe, bandani ingia weweNi leo au tuseme jana asubuhi
yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300
Pole sanaa mama.Nina majonzi nimeshindwa hata kuandika vizuri
Ila ni tukio la kweli na hao watu inasemekana ndio michezo yao muda mrefu sana
Mbona unaleta mambo ya ndoto, huku tuliko hata saa 11 haijafika au uko India?Asubuhi ya leo nimeibiwa kuku wa nyama 200+ na wababa wa tano tena wana nguvu zao tu jamani😭😭😭
Alikuja mmoja na boda akasema nataka kuku 100, kaja saa12 alfajir akasema ngoja nikachukue tenga
Kurudi kaja na wababa 4 wana pickup nyeupe😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hao wangese washawahi kumuibia sister wangu kuku karibia 300 kimtindo huo,ila wao mara ya kwanza walinunua fresh,sister akaona hawa ndio wateja,baada ya kupita siku kadhaa wakarudi tena,hapo ndio walipompigaNi leo au tuseme jana asubuhi
yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300