Nimeibiwa kuku wa nyama

Nimeibiwa kuku wa nyama

Asubuhi ya leo nimeibiwa kuku wa nyama 200+ na wababa wa tano tena wana nguvu zao tu jamani😭😭😭

Alikuja mmoja na boda akasema nataka kuku 100, kaja saa12 alfajir akasema ngoja nikachukue tenga
Kurudi kaja na wababa 4 wana pickup nyeupe😭😭😭😭😭😭😭😭😭
we ebu lala Bado saa 10 alfajiri,au umeachika nipe location Nike nimalizie usingizi
 
Ni leo au tuseme jana asubuhi
Wameiba au umewapa bure?
yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300
 
Ni leo au tuseme jana asubuhi

yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300
wanatumia uchawi, pole sana wengi wameibiwa kwa style hiii hii, hutakiwi kuwaruhusu wahesabu wenyewe, bandani ingia wewe
 
Asubuhi ya leo nimeibiwa kuku wa nyama 200+ na wababa wa tano tena wana nguvu zao tu jamani😭😭😭

Alikuja mmoja na boda akasema nataka kuku 100, kaja saa12 alfajir akasema ngoja nikachukue tenga

Kurudi kaja na wababa 4 wana pickup nyeupe😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mbona unaleta mambo ya ndoto, huku tuliko hata saa 11 haijafika au uko India?
 
Ni leo au tuseme jana asubuhi

yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300
Hao wangese washawahi kumuibia sister wangu kuku karibia 300 kimtindo huo,ila wao mara ya kwanza walinunua fresh,sister akaona hawa ndio wateja,baada ya kupita siku kadhaa wakarudi tena,hapo ndio walipompiga
 
Back
Top Bottom