Nimeibiwa kuku wa nyama

Nimeibiwa kuku wa nyama

Asanteni 🙏🏽🙏🏽

Yan total waliyoniibia ni kuku 208
208x6500=1,352,000
Kiulainiiii kmmm


Yan wale wanatumia dawa plus kukuzubaisha kila mtu anakuongelesha huyu anakushauri hivi huyu hivi yani maneno mengi
 
Asanteni 🙏🏽🙏🏽

Yan total waliyoniibia ni kuku 208
208x6500=1,352,000
Kiulainiiii kmmm


Yan wale wanatumia dawa plus kukuzubaisha kila mtu anakuongelesha huyu anakushauri hivi huyu hivi yani maneno mengi
Usilalamike chukua hatua mapema sana watakulipa hiyo hela yote na fidia juu. Kwanini udhurumike kizembe ?
 
Ni leo au tuseme jana asubuhi

yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300
Pole, umetapeliwa. Usiache biashara, Ongeza umakini, mambo kama haya ndo yanakukomaza, ukisikia nina mtu anasema ana uzoefu wa miaka 20 kwenye hii shughuli maana yake ndo kama hivi kuwa amepitia mengi na yakamfunza.
 
Back
Top Bottom