Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We una agenda zako za chini chini 😂Rahisi sana aisee 🤣🤣🤣
Pisi kali unataka kuwakamata hao wezi ? Nicheki aisee
tuwalaani warudishe kuku. wakifa hazirudiTuwalaani kwa jina la Bwana.
Wafe wote
Sina agenda yoyote mkuu kwanihi aibiwe na kudhurumika kizembe ?We una agenda zako za chini chini 😂
Usilalamike chukua hatua mapema sana watakulipa hiyo hela yote na fidia juu. Kwanini udhurumike kizembe ?Asanteni 🙏🏽🙏🏽
Yan total waliyoniibia ni kuku 208
208x6500=1,352,000
Kiulainiiii kmmm
Yan wale wanatumia dawa plus kukuzubaisha kila mtu anakuongelesha huyu anakushauri hivi huyu hivi yani maneno mengi
Utaweza kuwarudisha hao kuku kama ni wewe uliwachukua ila tofauti na hapo nikutakie utekelezaji mwema wa ajenda yako.Sina agenda yoyote mkuu kwanihi aibiwe na kudhurumika kizembe ?
Unapenda mselelekowe ebu lala Bado saa 10 alfajiri,au umeachika nipe location Nike nimalizie usingizi
Pole, umetapeliwa. Usiache biashara, Ongeza umakini, mambo kama haya ndo yanakukomaza, ukisikia nina mtu anasema ana uzoefu wa miaka 20 kwenye hii shughuli maana yake ndo kama hivi kuwa amepitia mengi na yakamfunza.Ni leo au tuseme jana asubuhi
yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300
Mkuu sitaniii Mimi hao Kuku watarudi na fidia juu watalipa hao waseng**** wanaojifanya ni matapeliUtaweza kuwarudisha hao kuku kama ni wewe uliwachukua ila tofauti na hapo nikutakie utekelezaji mwema wa ajenda yako.
Iko wapi video?Nimepost video ya hao wezi
Sawa mkuu msaidie pisiMkuu sitaniii Mimi hao Kuku watarudi na fidia juu watalipa hao waseng**** wanaojifanya ni matapeli
Sawa mkuu kila la heriSina agenda yoyote nataka nimuonyeshe huyu Pisi kali kwamba watu huwa hawatanii kwenye mali zao hao mbona watarudisha wenyewe