Nimeibiwa kuku wa nyama

Nimeibiwa kuku wa nyama

Asubuhi ya leo nimeibiwa kuku wa nyama 200+ na wababa wa tano tena wana nguvu zao tu jamani😭😭😭

Alikuja mmoja na boda akasema nataka kuku 100, kaja saa12 alfajir akasema ngoja nikachukue tenga

Kurudi kaja na wababa 4 wana pickup nyeupe😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Wezi wenyewe hao hapo
Cheki na waliokuja kukagua
 
Hakuna kitu special kilichotokea. Ni jamaa alisema hakimu fulani anakula rushwa na kumtishia kuwa akome. baada ya siku kadhaa yule hakimu akafariki. llikuwa ni coincidence tu.
Nadhani pia ni hivyo, Kifo hakiepukiki sioni uhusiano wa kifo chake na yaliyosemwa.
 
Haya utatishia wajinga wenzako huko uswekeni kwenu na siyo mtu kama mimi. Huko huko mnakoishi na imani zenu za kijinga kuwa jini linaweza kuwalawiti na kuwanyonga. Mimi hilo jina wala siamini kama kuna kiumbe kama hicho.
Danganya watoto na wajinga. Nyie ndio vichawi na mawakala wa shetani mnadanganya kwa makusudi.
 
Watafungwa Kwa ushahidi upi wakati walilipia kuku 60, hao wengine ana ushahidi gani kama wao ndiyo waliiba. Jiulize
Hapa hakunaa Kesii yanii huyu dada Ndo kazingua kaibiwaa kipuuzi sana na hao wezi wanaweza kumgeuzia kibao maana sio kwamba walivunja wakaiba kuku ila walimlipa kabisaa na hela za kuku waliochukua sasa inakuwaje ageukee kusema wamemuibiaa..????
 
Back
Top Bottom