Nimeibiwa kuku wa nyama

Nimeibiwa kuku wa nyama

Ogopa Mungu na tekinolojia

Akiwakamata wanafungwa kufundisha kupata ushahidi hapa ni kufunza uhalifu, sio kila kitu husemwa
Ukisoma maelezo ya mtoa hoja utaelewa kwa nini nikasrma vile. Mlalamikaji kauza kuku 60 na wamelipiwa fresh ila hajui hao wengine walitolewa lini kwenye banda, kwa maneno mengine hakuona huo wizi. Hapo utamfunga mtu vipi?
 
Uwo wizi upo sana nafikiri ungekuwepo kwenye ma group ya wafuga broiler ungekuwa umeshasanuka kitambo , mara ya kwanza nasikia ilikuwa 2019 na mfugaji mwenzio aliibiwa kwa style hiyo sema aliyeiba alikuwa mwenyewe na pikipiki
style style, mbona hamsemi style gani? uzi haueleweki mtu kaibiwaje?
 
Hakuna kitu special kilichotokea. Ni jamaa alisema hakimu fulani anakula rushwa na kumtishia kuwa akome. baada ya siku kadhaa yule hakimu akafariki. llikuwa ni coincidence tu.
Jidanganye ni coincidence ufanyie watu ubaya alafu uone jinsi Jini litakavyokulawiti then linakumalizia kwa kukunyonga.

Kua uyaone dogo. 😀😀😀
 
Jidanganye ni coincidence ufanyie watu ubaya alafu uone jinsi Jini litakavyokulawiti then linakumalizia kwa kukunyonga.

Kua uyaone dogo. 😀😀😀
Haya utatishia wajinga wenzako huko uswekeni kwenu na siyo mtu kama mimi. Huko huko mnakoishi na imani zenu za kijinga kuwa jini linaweza kuwalawiti na kuwanyonga. Mimi hilo jina wala siamini kama kuna kiumbe kama hicho.
 
Back
Top Bottom