fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
madawq wangeenda nayo benki ,uzembe plus umakini tuTulikua wawili
Wana mbinu plus madawa sijui imekuwaje yaniðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
madawq wangeenda nayo benki ,uzembe plus umakini tuTulikua wawili
Wana mbinu plus madawa sijui imekuwaje yaniðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Ukisoma maelezo ya mtoa hoja utaelewa kwa nini nikasrma vile. Mlalamikaji kauza kuku 60 na wamelipiwa fresh ila hajui hao wengine walitolewa lini kwenye banda, kwa maneno mengine hakuona huo wizi. Hapo utamfunga mtu vipi?Ogopa Mungu na tekinolojia
Akiwakamata wanafungwa kufundisha kupata ushahidi hapa ni kufunza uhalifu, sio kila kitu husemwa
Yule.ni noma alitangaza humu na ikawa, hadi magazeti yaliandikaNaomba link mkuu
Sikuona hiyo mkuuYule.ni noma alitangaza humu na ikawa, hadi magazeti yaliandika
style style, mbona hamsemi style gani? uzi haueleweki mtu kaibiwaje?Uwo wizi upo sana nafikiri ungekuwepo kwenye ma group ya wafuga broiler ungekuwa umeshasanuka kitambo , mara ya kwanza nasikia ilikuwa 2019 na mfugaji mwenzio aliibiwa kwa style hiyo sema aliyeiba alikuwa mwenyewe na pikipiki
Mama mtumishiTuwalaani kwa jina la Bwana.
Wafe wote
Umewakamataje?NISHAWAKAMATA
We kama unafuga usiruhusu wanunuaji kuingia bandani kuchagua kukustyle style, mbona hamsemi style gani? uzi haueleweki mtu kaibiwaje?
Inategemea umejiunga lini? Hiyo ni habari ya kitambo.Sikuona hiyo mkuu
Baba siyo lazima uwe na mtoto. Hata babu siyo lazima uwe na mjukuu. Ni hatua fulani kwenye umri wa mtu.Umejuaje kua hao wezi ni wababa?
Pengine hawajaona na hawana hata watoto,
Au mimi ndio sijui sifa inayomfanya mtu kuitwa Baba?
Sasa wakitagia tumboni hao wezi si watachukua hayo mayai na kwenda kuuza na kupata faida zaidi? Acheni utapeli bwana.Njoo tumalize mchongo hao kuku watawika na kutagia tumboni, Malipo ni baada ya huduma.
Hakuna kitu special kilichotokea. Ni jamaa alisema hakimu fulani anakula rushwa na kumtishia kuwa akome. baada ya siku kadhaa yule hakimu akafariki. llikuwa ni coincidence tu.Sikuona hiyo mkuu
Jidanganye ni coincidence ufanyie watu ubaya alafu uone jinsi Jini litakavyokulawiti then linakumalizia kwa kukunyonga.Hakuna kitu special kilichotokea. Ni jamaa alisema hakimu fulani anakula rushwa na kumtishia kuwa akome. baada ya siku kadhaa yule hakimu akafariki. llikuwa ni coincidence tu.
Haya utatishia wajinga wenzako huko uswekeni kwenu na siyo mtu kama mimi. Huko huko mnakoishi na imani zenu za kijinga kuwa jini linaweza kuwalawiti na kuwanyonga. Mimi hilo jina wala siamini kama kuna kiumbe kama hicho.Jidanganye ni coincidence ufanyie watu ubaya alafu uone jinsi Jini litakavyokulawiti then linakumalizia kwa kukunyonga.
Kua uyaone dogo. 😀😀😀