Nimeibiwa milioni 10 stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi

Nimeibiwa milioni 10 stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi

Tajiri wa matajiri

Senior Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
166
Reaction score
649
Daah sijui kwanini vibaka wa stendi ya Magufuli wanapenda kunionea hivi yaani hii ni mara ya tatu kunifanyia hivi wakuu yaani pamoja na kuwa kwenye gari langu la IST na pamoja na kulock mlango wa gari bado nikaibiwa wakuu sijui hawa jamaa daaah!

Wakati namsindikiza wife alikuwa anaenda kwao kusalimia Singida na nikampandisha kwenye gari la ABC bwana nikaliacha gari langu pale nikampandisha wife nikarudi kwenye gari langu nikakuta mlango wa gari umefunguliwa na pesa zote milioni 10 zimechukuliwa, kompyuta mpakato imechukuliwa na vitambulisho vyangu vimechukuliwa daaah😭😭😭😭
 
Daah sijui kwanini vibaka wa stendi ya magufuli wanapenda kunionea hivi yaani hii ni mara ya tatu kunifanyia hivi wakuu yaani pamoja na kuwa kwenye gari langu la IST na pamoja na kulock mlango wa gari bado nikaibiwa wakuu sijui hawa jamaa daaah!

Wakati namsindikiza wife alikuwa anaenda kwao kusalimia singida na nikampandisha kwenye gari la ABC bwana nikaliacha gari langu pale nikampandisha wife nikarudi kwenye gari langu nikakuta mlango wa gari umefunguliwa na pesa zote milioni 10 zimechukuliwa,kompyuta mpakato imechukuliwa na vitambulisho vyangu vimechukuliwa daaah😭😭😭😭
Pole
 
Unazo Hela ww mkuu c Bure,yaan ten million unaicha Kwenye gari kirahisi rahisi tu sehemu hata walinzi hamnaa aiseeee ...

Wkt mwingine kuwa makini bhana acha utani na Hela mkuu
 
Mmmmh
 

Attachments

  • JamiiForums2144198311.gif
    JamiiForums2144198311.gif
    976.3 KB · Views: 3
Daah sijui kwanini vibaka wa stendi ya magufuli wanapenda kunionea hivi yaani hii ni mara ya tatu kunifanyia hivi wakuu yaani pamoja na kuwa kwenye gari langu la IST na pamoja na kulock mlango wa gari bado nikaibiwa wakuu sijui hawa jamaa daaah!

Wakati namsindikiza wife alikuwa anaenda kwao kusalimia singida na nikampandisha kwenye gari la ABC bwana nikaliacha gari langu pale nikampandisha wife nikarudi kwenye gari langu nikakuta mlango wa gari umefunguliwa na pesa zote milioni 10 zimechukuliwa,kompyuta mpakato imechukuliwa na vitambulisho vyangu vimechukuliwa daaah😭😭😭😭
Nakuombea kwa Imam wetu hela yako yote uliyoibiwa utaipata.

Mkabidhi maisha yako kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Allah Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ampe qauli thabeet.

Allah akujalie Tawfiq.
 
Back
Top Bottom