Tena imepoa sanaChai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena imepoa sanaChai.
Badoo wakuchukue na wewe shukurusanaDaah sijui kwanini vibaka wa stendi ya magufuli wanapenda kunionea hivi yaani hii ni mara ya tatu kunifanyia hivi wakuu yaani pamoja na kuwa kwenye gari langu la IST na pamoja na kulock mlango wa gari bado nikaibiwa wakuu sijui hawa jamaa daaah!
Wakati namsindikiza wife alikuwa anaenda kwao kusalimia singida na nikampandisha kwenye gari la ABC bwana nikaliacha gari langu pale nikampandisha wife nikarudi kwenye gari langu nikakuta mlango wa gari umefunguliwa na pesa zote milioni 10 zimechukuliwa,kompyuta mpakato imechukuliwa na vitambulisho vyangu vimechukuliwa daaah😭😭😭😭
Unaitaji dawa ya ujanja piga 0754 201666Daah sijui kwanini vibaka wa stendi ya magufuli wanapenda kunionea hivi yaani hii ni mara ya tatu kunifanyia hivi wakuu yaani pamoja na kuwa kwenye gari langu la IST na pamoja na kulock mlango wa gari bado nikaibiwa wakuu sijui hawa jamaa daaah!
Wakati namsindikiza wife alikuwa anaenda kwao kusalimia singida na nikampandisha kwenye gari la ABC bwana nikaliacha gari langu pale nikampandisha wife nikarudi kwenye gari langu nikakuta mlango wa gari umefunguliwa na pesa zote milioni 10 zimechukuliwa,kompyuta mpakato imechukuliwa na vitambulisho vyangu vimechukuliwa daaah😭😭😭😭
😄Do you think we gonna buy this bullshit!!? Get urself checked you bastard
+garlickChai ya tangawizi
Yaani unatumia kiingereza kumtukania MTU? Matumizi mabaya ya lugha hii....Kwenye kuchamba tutumie Kiswahili tafadhali.Do you think we gonna buy this bullshit!!? Get urself checked you bastard
Lowasa aliwahi kusema vipaumbele vyake 3 ni moja Elimu pili Elimu na tatu Elimu, wengi hawakuelewa. Imagine mtu anaenda stendi,tena inayosifika kwa vibaka na 10mill Cash really?? Nchi nzima mpaka vijijini kuna wakala wa kutoa na kuweka pesa, mabenki kibai, lipa namba mpaka hata groceries, Bar,mpaka baadhi ya dada poa wanazo...Unatembea na cash yote hiyo kwa ajili gani?
Siungesema tu sio hadi useme unaibiwa ml 10 kila dailyWewe
Anatushughulisha bure tuChai...