Nimeibiwa milioni 10 stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi

Nimeibiwa milioni 10 stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi

Neno "gari" limetajwa mara ngapi?
Wenye D mbili washaelewa
 
Huu ni uzi wa 5 unasema umeibiwa unafungua I'd mpya with the same story

You waste ur time
Hata Morogoro nako aliibiwa milioni kadhaa na madada poa. Jamaa anaongoza kwa kuibiwa aisee 😁😁😁🚮

 
Lipia tangazo,tumechoka na stori zako za kingese.
Lengo lango ni nini tujue una hela au?
Acha utoto umeshakuwa mkubwa huoni mavyuzz yako yameshaanza kuota nywele nyeupe??
 
Hii chai mbona Haina viungo kama ya kizigua
 

Attachments

  • tea_mobama-_012515064953.jpg
    tea_mobama-_012515064953.jpg
    36.7 KB · Views: 4
Huu ni uzi wa 5 unasema umeibiwa unafungua I'd mpya with the same story

You waste ur time

Kuna huyu mwenzake aliibiwa stendi ya Singida. Yeye huyu kaibiwa Mbezi mke wake akiwa anakwenda kwao Singida 😁😁😁

 
Siku nyingine uwe unaweka kwenye bonet kando ya engine, utaikuta pesa yako salama.
 
Daah sijui kwanini vibaka wa stendi ya magufuli wanapenda kunionea hivi yaani hii ni mara ya tatu kunifanyia hivi wakuu yaani pamoja na kuwa kwenye gari langu la IST na pamoja na kulock mlango wa gari bado nikaibiwa wakuu sijui hawa jamaa daaah...
Washakujua unataka wakufanyaje zaido ya kuibiwa??
 
 
Back
Top Bottom