Nimeibiwa milioni 10 stendi ya mabasi ya Magufuli Mbezi

Hadithi Yako nzuri sana

Hongera ,Tuna na salamu .


Seminar za maskari kuhusu usalama wa pesa wewe hazikukusaidia?
 
Uongozi wa design hii haukupendezi, I don't buy this
 
Na mark X yake
 
Ngoja tusiisikilize sababu yake, huenda ina mashiko.
Otherwise ni ushamba ndiyo umemgharimu ama hii ni chai tu.
 


Kwahiyo haumjui huyu mtoa mada

Wasoma comments wanakuona wewe ndo unabidi kuilewa Sera ya Lowassa ya Elimu
 
Umeamua kuwanufaisha kuwanufaisha wadau wenye shida ya hela, yaani unatembea na cash kiasi hicho?
 
Huyu jamaa hata mimi nilitaka kuuliza mbona huu uzi wa mashtaka ya hv ushawahi postiwa miaka mingapi nyuma tena kopi and paste kbs,jamaa anafanya hv aidha adake mademu wakijua ana hela au kuwapiga watu😂😂👊
Kweli mkuu hii imekaa kibaharia zaidi.
 
Usijali mkuu, ndo sadaka zenyewe hizi umetoa. 😁
 
Kwahiyo haumjui huyu mtoa mada

Wasoma comments wanakuona wewe ndo unabidi kuilewa Sera ya Lowassa ya Elimu
Kwamba natakiwa kuwajua watoa comments wote humu ndani? Nitakuwa sina kazi za kufanya sasa...
 
Pole sanaa 💈 🎣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…