Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehemu uliji mis.Nimeibiwa simu yenye line ya Tigo na nilipoenda kuchukua line mpya naangia salio la pesa nakuta hakuna kitu! Kwenye statement inaonekana mwizi ametoa pesa mara tatu. Hii inawezekana vipi mru hajui password yangu atoe pesa??
Nilikwenda ofisini kwao kurudisha line wakasema suala hilo niripoti Polisi. Sikupata msaada wowote kutoka kwao!ulipowasiliana na tigo walikupa jibu gani?
Tigo wana makosa.Mzembe mkubwa ni wewe.
Kwa nini hukuchukua hatua za haraka za kufunga hiyo line? Wewe ulimpa mwizi muda wa kutosha kukuibia.
Ukipoteza line ama kadi ya simu piga simu kwenye benki ama mtandao wako haraka wafunge hiyo line ama kadi uwe salama.
Hapa sio mwizi wala tigo wenye makosa.
Huyu mwizi kapata wapi NIDA yangu?Ni Rahisi sana mtu akiweza kupata NIDA yako.Tigo wana huduma ya Kuweka Upya PIN kwa kutumia NIDA namba ambayo maswali yake wakala wao wa usajili anaweza kujibu na kufyatua Password yako Fasta.Nashauri TIGO waondoe hiyo huduma
Nimegundua sina simu baada ya saa moja. Ninachouliza hapa ni mwizi amewezaje kutoa pesa????Mzembe mkubwa ni wewe.
Kwa nini hukuchukua hatua za haraka za kufunga hiyo line? Wewe ulimpa mwizi muda wa kutosha kukuibia.
Ukipoteza line ama kadi ya simu piga simu kwenye benki ama mtandao wako haraka wafunge hiyo line ama kadi uwe salama.
Hapa sio mwizi wala tigo wenye makosa.
Siwezi kufanya ujinga huo. Passwords zangu ziko kichwani tu.hujasema ukweli wewe,
nina uhakika uli save password kwenye line yako
wezi ni watu wa trial and error
Watakushinda...!Kwa kweli nitawashitaki. Sitaki mambo ya namna hii.
Kweli kabisaa na makosa makubwa tunayoyafanya ni kusevu nida zetu kwenye contacts, kwaiyo ni rahisi kabisaaa mtu anapita na pesa kama yakeNi Rahisi sana mtu akiweza kupata NIDA yako.Tigo wana huduma ya Kuweka Upya PIN kwa kutumia NIDA namba ambayo maswali yake wakala wao wa usajili anaweza kujibu na kufyatua Password yako Fasta.Nashauri TIGO waondoe hiyo huduma
Kwa Tigo lolote linawezekanaNimeibiwa simu yenye line ya Tigo na nilipoenda kuchukua line mpya naangia salio la pesa nakuta hakuna kitu! Kwenye statement inaonekana mwizi ametoa pesa mara tatu. Hii inawezekana vipi mru hajui password yangu atoe pesa??