Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani imekubali!ni 0000, hiyo ni ya mwanzo then unachange. Mimi nimeweka sasa hivi kwenye kiswaswadu changu maana wakinipiga hapa wamenimaliza
Nimeweka 0000 imework, ni vodacomWeka 1234,ikikataa block sim card omba PUK,
Umeibiwa mtaani au nyumbaniNimeibiwa simu yenye line ya Tigo na nilipoenda kuchukua line mpya naangia salio la pesa nakuta hakuna kitu! Kwenye statement inaonekana mwizi ametoa pesa mara tatu. Hii inawezekana vipi mru hajui password yangu atoe pesa??
Sijaweka hiyo. I AM NOT THAT MUCH STUPID!Usiwe unaweka password mwaka wako wa kuzaliwa
mchawi NIDANi Rahisi sana mtu akiweza kupata NIDA yako.Tigo wana huduma ya Kuweka Upya PIN kwa kutumia NIDA namba ambayo maswali yake wakala wao wa usajili anaweza kujibu na kufyatua Password yako Fasta.Nashauri TIGO waondoe hiyo huduma
Mtaani maeneo ya stendi ya mabasiUm
Umeibiwa mtaani au nyumbani
Duh noma sanaInawezekana asee, na inawezekana pia hao mawakala huwa wanapata mgao.....
Make mi nlikuaga najiuliza anapataje hizo password anaiba tu mahela ya watu, ila raia wenye hasira kali siku moja walimuotea wakamrestisha.
Duh uyo kasomea nywira za watu😂Mtaani maeneo ya stendi ya mabasi
Pin kwenye lini zipo nikwamba wengi hatutaki kuweka ila zipo naukikosea tu maratatu line inajiblock ndomana tunaona ugumu kuweka hiiKuna kipindi serikali ilizitaka kampuni za simu kuweka PIN kwenye laini ili kulinda wateja,mfano ukinunua laini mpya inakuwa tayari na PIN,unabadilisha unaweka ya kwako,hiyo inakusaidia pale unapoibiwa simu au laini,mtu akitaka kuweka hiyo laini yako kwenye simu nyingine au kama simu yako ikazima, inamlazimu kuweka PIN ya laini...hii inazuia mwizi au mtu asiyehusika kutumia laini yako kama ukiibiwa au kupoteza bahati mbaya.... Halotel wanayo huduma hii kwenye laini zao mpya,ila Tigo na Vodacom bado laini zao hazina hiyo option.
Voda wa a huduma ya kuweka PINLaini za Tigo hazina pini, Halotel pekee ndo wameweza kueeka pin kwenye Laini hata voda wameshindwa.
Asante, sijajua hii,naomba nieleweshe kwa tigo au Vodacom nawezaje kuweka hizo PINMitandao yote IPO hiyo huduma ila ni optional..unaweza Kuweka au kuacha..
Hata nchi yetu hiyo sheria wameweka. Mitandao kama TTCL na Voda wanajitahidi kuifuata lakini Tigo wao ndo ma-nunda.Kuna baadhi ya nchi ni Kosa kisheria kutokuweka Number za siri kwenye simu yako na Simcard..kabla ya kulaumu tigo,why laini yako haina PIN??usalama unaanza na wewe...tofauti na kuibiwa ipo siku laini yako itatumika vibaya.
Naona watu mnajiandaa kuibiwa SIMU kabisaShukran ngoja nijaribu
Hilo pepo linaleta utajiri wa haraka 😃Ana pepo la utambuzi