mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Kwamba mtu yoyote anaweza omba na akapewa, ni hatari.Hata mm hiyo imenitokea niliibiwa simu kwenda kurudisha line nakuta pesa hakuna hata Mia kwenda tigo naambiwa mwizi aliomba PIN reset wakampa 0000 akabadili number akatoa pesa sina hamu na tigo
Unaweza kuweka kupitia setting ya simu yako.Laini za Tigo hazina pini, Halotel pekee ndo wameweza kueeka pin kwenye Laini hata voda wameshindwa.
Kwa hili Tigo watawajibika. Ndiyo kampuni ya kwanza nimekuwa nayo kabla zingine hazijaanza. Haiwezekani pesa zangu zipotee hivi hivi. They are custodians. Siyo niende ofisini wananiambia nikaripoti polisi.Hata mm hiyo imenitokea niliibiwa simu kwenda kurudisha line nakuta pesa hakuna hata Mia kwenda tigo naambiwa mwizi aliomba PIN reset wakampa 0000 akabadili number akatoa pesa sina hamu na tigo
Ni kampuni ya wahuni sana yaan hata wakala aliyetoa hiyo pesa wanamjua ila hawatakupa ushirikiano hata kumjua tu wakala maana kumjua wakala na wapi alipo na pesa ilipotelewa sometime unaweza kupata clue Fulani pa kuanziaShukrani kwa mchango wako. Wacha nirudi kwenye traditional banking tu. Nimepata hasara but Tigo nust compensate . SIwezi kuwaacha hivihivi.
Kwa nini hakuna security ya kutosha ambayo hata brutforce haiwezi kufanya cracking ya password. I am very disappointedUkinunua line mpya inakuwa na pin, mara nyingi tunatoa hiyo pin, madhara yake ni mtu akiokota au akiiba simu yako ni rahisi kuingia moja kwa moja.
I swear kwa hili watawajibika. We can not trust a company with no security standards.Ni kampuni ya wahuni sana yaan hata wakala aliyetoa hiyo pesa wanamjua ila hawatakupa ushirikiano hata kumjua tu wakala maana kumjua wakala na wapi alipo na pesa ilipotelewa sometime unaweza kupata clue Fulani pa kuanzia
Rahisi sana...akiangalia no yako ya simu kwa msajili line ..nida inakuja otomaticHuyu mwizi kapata wapi NIDA yangu?
Mlokole jidanganyeAna pepo la utambuzi
pole sana ndugu yanguNilikwenda ofisini kwao kurudisha line wakasema suala hilio niripoti Polisi. Sikupata msaada wowote kutoka kwao!
Kuanzia Leo siweki tena kwenye simuMnatutisha wakuu, hizi akiba zetu tutahifadhi wapi sasa?
Kutoka wapi?Kwasababu alipata nida yako
Bado hujajua kijana...kwamba TTCL upande wa security ni kubwa kuliko voda..??!! Utakua unatañiaHata nchi yetu hiyo sheria wameweka. Mitandao kama TTCL na Voda wanajitahidi kuifuata lakini Tigo wao ndo ma-nunda.
Nilipotezaga ki simu na laini zote tatu. Kilichotokea nilirenew laini ya TigO bila shida yoyote kwa wakala tu. Laini ya voDa na TTcl ilinibidi kwenda kwenye 'shop' zao. Ya voda nikafanikiwa hapo lakini ya ttcl ikaongezeka kipengele cha kuwa hadi na loss report.
Wakati ule niliwamaindi kwa mtiririko wa ttcl then voda then wa mwisho hao tigo...... lakini kumbe kiusalama linaanza baba lao ttcl halafu voda then wa mwisho ndio hao tigo😅.
Huu ni ushuhuda binafsi.
Sikufanya muamala wowote kwenye daladalaNi mtu alishakuchungulia ukifanya miamala labda kwenye daladala, akaidaka namba yako ya siri. Akatafuta namna ya kukuibia simu. Unashauriwa uwe unabadili namba yako ya siri mara kwa mara. Kama sivyo tigo wanawajibika.
Kwa voda hell noRahisi sana Tena sikwa tigo pekee