Hiyo mbona rahisi sana Cha kwanza anatoa line kama simu yako Ina password,anajipigia ,
Akishapata namba yako anaenda Kwa wakala wale wasajiri Laini anajifanya amesahau namba NIDA yake ,wale akiwapa namba yako tu wakicheki kwenye vile vifamoko vyao NIDA yako hiyo chap inakuja na majina yako yote matatu,
Baadae ya hapo anapigia tu Customer care na kuwaambia amesahau password yake ,wao wanachoomba ni namba za NIDA ,majina matatu na mwaka wa kuzaliwa ambao ni tayari upo Kwa namba ya NIDA yako ,
Baadae ya hapo anabadilishiwa password ye anaenda kutoa pesa yako Kwa Raha mustareheee.
Hiyo process yote kwa mwizi mzoefu haizidi ata Nusu saa .
Nb
Ukipotelewa na simu pigia customer care mapema wablock line yako kuepuka mambo kama hizi.