Nimeibiwa takribani laki 5 na Binti wa duka langu jipya ndani ya miezi miwili. Nichukue uamuzi gani?

Kama yuko tayari, usimwambie Mama yake kama alivyoomba, aendelee kufanya kazi kwa ufuatiliaji wa karibu, mlipe nusu mshahara mpaka deni lilipwe.
Aambiwe aliyemtafuta ili alipe
 
rikiboy an pointi nzito, ukimfukuza ni sawa na kumsamehe, pesa inakuwa imeenda hio.

Nimeona point yake ina make sense maana kwa sasa nishamjua hivyo atatumia nguvu kubwa sana kurudisha imani yake ya kuwa mwaminifu.

Ntachofanya ntabadili utaratibu kidogo, ntakuwa namkata elf 50 kila mwezi, mshahara utakuwa elf 50 na allowance kama kawaida.
 

Endelea hvyohvyo sawa?
 
Pole sana mkuu duka mpe mkeo
 
Mimi sasa hivi nimechukua hiyo nikiona Mfanyakazi ana anza mazoea na kuna dalili ya upigaji namuondoa haraka,nikigundua kuna wizi umetokea police inamhusu sicheki na kima.
 

Umemtengeneza huyo dada kuwa mwizi, biashara hazifanywi hivyo, kwa biashara ya duka kila siku hesabu lazima ifungwe na hela ziondoke.
 
Asante sana mkuu..

Kuna Boss mmoja ali ibiwa kidogo kidogo store kuja kupiga hesabu 60m

Alicho SEMA nanukuu,

Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
 
Kwa mshahara wa sh 6000 per day ni haki yako kuibiwa...Tanzania tulitakiwa tuwe na mfumo wa kulipana kwa masaa ambayo mtu amefanya kazi...kiwango cha chini kingekuwa sh 2000 kwa saa
 
Wazo bandia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…