Nimeikubali barabara ya Mwenge - Morocco hakika ilani ya CCM kiboko, Lissu asingeweza haya!

Awamu yangu ya tano nawapenda saanaa, ila tuuu nimewakosoa kwa sehemu moja hasa ugawaji wa miradii ya maendeleo. Kunamkoa mumo uitwao KIGOMA, kwakweli naomba serikali yangu sikivu ya awamu yatanoo, wakumbukeni wanakigoma juuu ya barabaraa. Yaaani kama kipindi hiki cha masika barabara zao ni ngumu kupitikaa. Sasa elekezeeni nguvu za ujenzi wa miundombinu ya barabara mkoanii kigomaaa. Nimaombi yangu tuuu.
Mkuu karibu sana ujiunge na kwaya ya kanisani kwetu ya praise and worship maana uko vizuri sana sekta hiyo mkuu nakukaribisha sana
 
Tumekusikia mkuu....... Serikali ni sikivu!
 
Tumekusikia mkuu....... Serikali ni sikivu!
Wenzetu kwakweli wakumbukwee kwenye suala la barabara. Hakuna barabara hata moja ya rami inayounganisha mkoa huo na mikoa minginee. Inahuzunisha saaana kwa wenzetu wanakigoma, huwenda wanatamani na wao sasa waone ramii ya moja kwa moja na mikoa minginee. Niwaombe wanajamiii tuwakumbuke wanakigoma wetu waleee.
 
Kwani ile ya Nyakanazi hadi Ujiji haijakamilika?
 
Miradi ya barabara kuunganisha Kigoma na Geita, Katavi na Tabora ipo kwenye hatua nzuri za ujenzi.
 
Miradi ya barabara kuunganisha Kigoma na Geita, Katavi na Tabora ipo kwenye hatua nzuri za ujenzi.
Kama kweli serikali yetu imewakumbuka hivyo, basi naipongeza saanaa. Nasiku niikisikia mkoa huo umekamilika kwa kuunganishwa na mikoa mingine kwa kiwango cha ramiii, japokuwa mimi siomkazi wakigoma, nitaadhimia kwenda hadi ikulu kumpa zawadi nono mheshimiwa wetu huyu na jemadariii mkuu raisi wetu JPM.
 
Zitto Kabwe ndio alikuwa anachelewesha maendeleo ya Kigoma!
 
Ukiona Mtu anaandika Hata
Jua huyo ni Bonge la Kilaza lisio na Hoja
Hata hata hata
Mkampigie Ngoma tu Faru John siasa ilisha washinda
Hakuna upinzani nchii hii
 

Usingizi na kuota vimeingiaje
 
Wale wanafunzi waliofaulu lakini wamekatishwa kuendelea na masomo kwa uhaba wa madarasa watakuja kwenye hizo barabara zenye taa na kufanya kazi za machinga.

"Irani iko vema kweri-kweri"
 
Wale wanafunzi waliofaulu lakini wamekatishwa kuendelea na masomo kwa uhaba wa madarasa watakuja kwenye hizo barabara zenye taa na kufanya kazi za machinga.

"Irani iko vema kweri-kweri"
Hapo machame wanafunzi wangapi wameachishwa masomo bwashee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…