Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Hahaha hahahaAhhahaha we jiamini tu
Usinitishe mie wewe dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hahahaAhhahaha we jiamini tu
One love mtu wangu usiwaze......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana kaka mimi huwa nakukubali sana ila basi tu ubishi mwingine ni wa kuchangamsha mada so don't take it personal[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahhaha sio nakutisha nakwambia ukweliHahaha hahaha
Usinitishe mie wewe dada
Aisee mbona watu wengi wanasema jamii forums ya zamani ndo ilinoga au kwani kuna jamii forums ngapi? Anyway mimi jamii forums kama jamii forums nimeanza kuitumia vizuri mwaka huu
Natumia app mimi browser huwa inanitia uvivu na nikiingia kwa browser ni dakika mbili nimetoka ila kwenye app huwa nakesha zamani nilikuwa nasoma nyuzi za jf kupitia opera mini na opera news nakumbuka nilivyokuwa nasubiria hadithi za Mzizi Mkavu zile za majini nilikuwa nazifuatilia mwanzo hadi mwisho kupitia opera mini
Ila kuna hawa watu Zero IQ Money Penny aggyjay hawa nilianza kusoma nyuzi zao kupitia opera news mwaka huu na kwa kiasi fulani kupitia zile nyuzi ndipo niliposhawishika rasmi kuwa mwanachana wa freemason sorry jamiiforums
Ila kiukweli sijawahi jutia kuwa member yaani humu ndimo ninamomalizia stress zangu maana kuna watu nawakubali sana na michango yao humu jf
Jassue Khantwe cute b Saint anne Atoto Sakayo Sky Eclat Evelyn Salt Cookie Smokey Rebeca 83 Ulweso joanah kapeace manengelo Extrovert Relief Mirzska rikiboy troublemaker Mshana Jr Equation x
Wapo wengine wengi ambao sijawataja hapa na ninatambua michango yao ila hawa niliowataja aisee huwa wananifurahisha mno humu
Japo kati ya wote hao niliowataja ninafayehamiana naye nje ya jf ni mmoja tu Jassue ambaye ni rafiki yangu sana sema humu hayupo active kivile ila hao wengine wote hatufahamiani nje ya jf huwa ninawakubali tu humu ndani na mimi ndugu na marafiki zangu karibu wote siyo watumiaji wa jf kabisa
NB: Kwa wale wanaopenda kujifunza nasikitika kusema kwamba hii hadithi yangu haifundishi chochote (natania) ila mtoa mada samahani kwa kuweka comment ndefu inayokaribia kufikia thread yako[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]
Mie nalala, leo niko lindoHahahhaha sio nakutisha nakwambia ukweli
Sitaki kujua kwamba imetokea tuu nikawa wakwanza kwenye hiyo list.Kila zama na zama zake well hata mie walonivutia kujiunga na jf walikuwa lara 1 , DEMBA heven on earth Kaizer Dark City Mentor
Nilikuwa nafurahia namna tu wanavyojamiiana humu ndani, sijawahi kujutia kujiunga.
Well naipenda jf the way ilivyo hata sasa na navutiwa na watu wengi tu kwa michango yao na namna tunavyojamiiana. Jf huifanya siku yangu kuwa murua kabisa
cute b Mentor Heaven Sent manengelo Extrovert Khantwe Evelyn Salt Mother Confessor Madame B MO11 Kaboom Eli79 Hawachi Shadeeya Ulweso Edelyn manengelo @meeya RRONDO Shunie Sakayo Thad The Monk
na wengine weeeeeengi ambao sijawataja.
Huyo anayekufuatia ndo shemelaaSitaki kujua kwamba imetokea tuu nikawa wakwanza kwenye hiyo list.
Lakini napenda kusema nimefurahi sana jina langu kuwa la kwanza kukujia kwenye akili yaani na ninajidaijee[emoji23][emoji23][emoji23]. Kwangu ina maana kubwa kwamba miaka 5 yote tuliyojuana , haujawahi kujuta kunijua.
Kama vile nakuona unavyokuja kunikatisha tamaa[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Hahahahhaha kwa Atoto?Huyo anayekufuatia ndo shemelaa
Hahaha mie nimekuwa mpenzi msomaji na mpinzani wako wa jadi. Ila nafurahia uwepo wako pia napenda tuendelee kujamiiana kama kauli mbiu kuu ya humu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana mimi ni mgeni sema tu nimekuja kwa kasi ya 5G zamani nilikuwaga mpenzi mtazamaji ila mwaka huu na mimi nikaanza kuwa mpenzi mtangazaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila nini tena?One love mtu wangu usiwaze......
Ilaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaache best[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila nini tena?
Hahahah lini uliingia lindo au ndio kututania wenye kazi zetuMie nalala, leo niko lindo
[emoji23][emoji23]kwa kweli kujamiiana humu ni jambo muhimu sana[emoji41][emoji41]Hahaha mie nimekuwa mpenzi msomaji na mpinzani wako wa jadi. Ila nafurahia uwepo wako pia napenda tuendelee kujamiiana kama kauli mbiu kuu ya humu.
Sawa mkuuYaache best
NI moja ya member wangu bora wa muda wote ..Uzi umefika page ya 4 bado hamjamtaja legend Chief-Mkwawa!.
[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]Aisee mbona watu wengi wanasema jamii forums ya zamani ndo ilinoga au kwani kuna jamii forums ngapi? Anyway mimi jamii forums kama jamii forums nimeanza kuitumia vizuri mwaka huu
Natumia app mimi browser huwa inanitia uvivu na nikiingia kwa browser ni dakika mbili nimetoka ila kwenye app huwa nakesha zamani nilikuwa nasoma nyuzi za jf kupitia opera mini na opera news nakumbuka nilivyokuwa nasubiria hadithi za Mzizi Mkavu zile za majini nilikuwa nazifuatilia mwanzo hadi mwisho kupitia opera mini
Ila kuna hawa watu Zero IQ Money Penny aggyjay hawa nilianza kusoma nyuzi zao kupitia opera news mwaka huu na kwa kiasi fulani kupitia zile nyuzi ndipo niliposhawishika rasmi kuwa mwanachana wa freemason sorry jamiiforums
Ila kiukweli sijawahi jutia kuwa member yaani humu ndimo ninamomalizia stress zangu maana kuna watu nawakubali sana na michango yao humu jf
Jassue Khantwe cute b Saint anne Atoto Sakayo Sky Eclat Evelyn Salt Cookie Smokey Rebeca 83 Ulweso joanah kapeace manengelo Extrovert Relief Mirzska rikiboy troublemaker Mshana Jr Equation x
Wapo wengine wengi ambao sijawataja hapa na ninatambua michango yao ila hawa niliowataja aisee huwa wananifurahisha mno humu
Japo kati ya wote hao niliowataja ninafayehamiana naye nje ya jf ni mmoja tu Jassue ambaye ni rafiki yangu sana sema humu hayupo active kivile ila hao wengine wote hatufahamiani nje ya jf huwa ninawakubali tu humu ndani na mimi ndugu na marafiki zangu karibu wote siyo watumiaji wa jf kabisa
NB: Kwa wale wanaopenda kujifunza nasikitika kusema kwamba hii hadithi yangu haifundishi chochote (natania) ila mtoa mada samahani kwa kuweka comment ndefu inayokaribia kufikia thread yako[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]
[emoji8] [emoji8] [emoji8] ..Mi hata sikumbuki niliingiaje Jf..Nilijikuta tu ni Member[emoji2]....Kila zama na zama zake well hata mie walonivutia kujiunga na jf walikuwa lara 1 , DEMBA heven on earth Kaizer Dark City Mentor
Nilikuwa nafurahia namna tu wanavyojamiiana humu ndani, sijawahi kujutia kujiunga.
Well naipenda jf the way ilivyo hata sasa na navutiwa na watu wengi tu kwa michango yao na namna tunavyojamiiana. Jf huifanya siku yangu kuwa murua kabisa
cute b Mentor Heaven Sent manengelo Extrovert Khantwe Evelyn Salt Mother Confessor Madame B MO11 Kaboom Eli79 Hawachi Shadeeya Ulweso Edelyn manengelo @meeya RRONDO Shunie Sakayo Thad The Monk
na wengine weeeeeengi ambao sijawataja.