dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hii sura kama wimbi la uji
Unanicheka mkuu😂😂🤓🤓🤓🙌🙌
Kwa nini asijue?unamuonea huruma ama nini?Shukrani mkuu. Ila unadhani ni mbinu gani nzuri ya kuitumia ili asijue sababu ni hili lililotokea?
Ndio nakucheka mkuuUnanicheka mkuu
AiseeNdio nakucheka mkuu
Sawa mkuu, nitalifanyia kaziKwa nini asijue?unamuonea huruma ama nini?
Kimsingi mkosaji ni yeye
Ningekuwa ni mimi ningehakikisha anajua sababu ya kumuacha
this is cuckoldry🚮🚮Wote endeleeni kukaa humohumo ila kimyakimya, badilisheni malengo mliyokua nayo juu yake ila msimiache wala kumwambia.
Kumwambia hizo ni habari za kusutana na za kike. Nendeni naye hivyo huku akiamini hamjui kitu, yaani awe demu wenu wote
Nitumie PM namba zake,atakuacha yeye mwenyewe automatically. Ahsante!Shukrani mkuu. Ila unadhani ni mbinu gani nzuri ya kuitumia ili asijue sababu ni hili lililotokea?
wee hiyo ni red flag😂Dogo ni mwamba sana
Mkuu huyo binti tangu nimtongoze rasmi na kuanza nae mahusiano ni wiki moja. Nimefikia hatua ya kumpenda kupindukia. Hata hivyo hisia hazibebwi na maandishi.nakazia.... muandiko tu unaonyesha jamaa hamchukulii serious binti
Wewe ni mpuuzi na inaonekana bado huna maisha unajitafuta. Focus kwanza kwenye mambo ya muhimu kuliko kupoteza muda kwenye upuuzi.Sina kawaida ya kusambaza picha mkuu
Mi nachekaga tu..Aisee
Nilisikiaga tu beki zao huwa hazikabi. Ndio nimeamini sasaNdugu kwani wanayaturu huwajui??? ......
Haya mambo yasiwe mengi, binafsi iwe dem wa mshakaji iwe ni dada yake iwe ni nani yake.. akijileta ataliwa.
utaumia mkuu... achana naeMkuu huyo binti tangu nimtongoze rasmi na kuanza nae mahusiano ni wiki moja. Nimefikia hatua ya kumpenda kupindukia. Hata hivyo hisia hazibebwi na maandishi.