Basi walio na dada wawatombw dada zaonyongeza: dada yake rafiki yako ni dada yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi walio na dada wawatombw dada zaonyongeza: dada yake rafiki yako ni dada yako
Haya mpe wewe ushauri mzuri.Sasa wee nae ushauri gani huu?
Haya akimuacha huyo mwanamke wakumtomber yeye pekee atamtoa wapi? Utamsaidia kumsaka?
Mtu kaomba simu, nimempa aangalie program fulani huwa naitumia. Kaenda kwenye gallery pasipo mie kujua. Hapo kosa langu lipiHivi unampaje mtu simu yako akague gallery uduanzi mwingine huo,sina cha kukushauri wewe na jamaa yako wote washamba sana..
Ushauri mzuri nilishampa. Yeye aendelee na demu ila amchane wazi kuwa anajua mbususu wengine wanakula ila yeye hilo sio lakufanya waachane cha msingi bidada asibanie mbususuHaya mpe wewe ushauri mzuri.
Una uhuru wa kuandika, hakuna wa kukupangia. simu ni yako na bundle umejinunulia.Bado ni watoto inavyoonekana, hawataweza kuweka mambo wazi.
HayaUshauri mzuri nilishampa. Yeye aendelee na demu ila amchane wazi kuwa anajua mbususu wengine wanakula ila yeye hilo sio lakufanya waachane cha msingi bidada asibanie mbususu
wewe huna dada?Basi walio na dada wawatombw dada zao
We utakuwa kabila gani?Mkuu suala la kumuoa nimewahi kulifikiria lakini ni mapema sana tangu nianze nae uhusiano. Sasa hili limejitokeza ndio limetia dosari kabisa
Dada yangu kashaolewawewe huna dada?
Utakuwa umeshaliwa vya kutosha. Hadi umejua mabaharia wakoje? Anywaay, hongera kwa kutokubakiza bikra hata mojaWe nae ndezi tu,yaani mpaka mnafikia huko ulikuwa unawaza nini,yaani unashindwa kubadili gia angani
We sio baharia hata nusu,mabaharia ninao wajua huyo rafiki yako asingejua chochote alafu wewe ungepiga chini uendelee na mishe zako.
Kwa hiyo ulijua uko peke yako?
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ili iweje
Kabisa mkuu yaani wewe ni mwanangu kabisa unaacha kumshape mdogo wangu ila wewe tena unamgegeda huo sio urafiki aisee.nyongeza: dada yake rafiki yako ni dada yako
haiingii akiliniKabisa mkuu yaani wewe ni mwanangu kabisa unaacha kumshape mdogo wangu ila wewe tena unamgegeda huo sio urafiki aisee.
Kwa hiyo jamaa analia kabisa kwa watoto wa kisingida?Habari za jumapili wakuu, hope mko vizuri. Nipo vizuri pia ingawa nipo njia panda kwa hili jambo.
Kuna jamaa zangu wawili mapacha wanyaturu huwa wana mdogo wao wa kike, ni mrembo Pro Max. Katika ile familia, naweza kumpa credit mama yao kwa kufyatua watoto wazuri kupita maelezo pale mtaani. Kuanzia dada zao wakubwa hadi kwa mtoto wa mwisho ambae ndio huyu binti ambae ndio lengo la huu uzi.
Kaka zake na huyo mrembo ni rika langu na tunaheshimiana sana. Nimekuwa nikienda kwao mara kwa mara lakini nilijikuta tu naanza kuvutiwa na mdogo wao. Sikuwaambia chochote na siwezi kuwaambia sababu najua hiyo inaweza kuwa chanzo cha kuvunjika kwa heshima tuliyoijenga kwa muda mrefu. Hivyo basi, nilipanga nitamuwinda mdogo wao pasipo wao kujua lolote.
Basi, katika kwenda kwao mara kwa mara, nilianza tu kuonyesha ishara za namna tofauti kwa binti kuonyesha kuwa nina jambo nae japo kwa kuibia sana isije kugundulika mambo yakaenda kombo. Jumamosi ya wiki jana nikiwa kwenye mizunguko ya kawaida tu, nilibahatika kukutana nae akiwa na rafiki yake. Kwanza sikuwa nimemuona, nilisikia naitwa tu, kugeuka sauti inapotokea nikakuta ni yeye. Moyo ulipasuka kwakuwa ni kweli binti nilikuwa nishaanza kumpenda. Nikamfuata tukajuliana hali pamoja na huyo rafiki yake. Akadai ameagizwa sehemu na mama yake hivyo ana haraka kidogo, kwahiyo nikachukua mawasiliano yake tu tukaachana..
Nilianza kumchatisha muda uleule, tukachat vingi ila alichonisisitiza ni kwamba sipaswi kuwaambia kaka zake kama ninawasiliana nae. Nikamwambia wala hilo halina shida, kisha nikamuomba appointment, akasema sawa. Ataangalia muda ataniambia. Muda wote huo sikuwa nimeingiza vocal, nilikuwa naisikilizia beat kwanza ili nijue naingiaje.. maana nilikuwa nasoma tu uelekeo kwanza ili nisije kuingiza vocal za blues wakati beat ni la Amapiano..
Kesho yake ambayo ilikuwa ni jumapili aliniambia jioni atakuwa na muda, nikawaza tu eneo tulivu la kumpeleka ambapo kaka zake hawatoweza kufika kwa urahisi. Jioni yake tukakutana kwenye eneo tulivu tu, tukaongea sana ndio nikapata wasaa wa kumtongoza. Haikuwa ngumu kwangu kama nilivyokuwa nikiwaza. Rasmi mrembo akasaini..
Nilifurahi sana, muda ukasogea hadi kagiza kakaingia. Nikampiga mate, akakubali. Nikajua tayari mhuri umegongwa kwenye mkataba aliosaini. Sasa ni mali yangu halali. Nikampa hela ya boda akarudi home.
Wiki hiyohiyo nikapata nafasi ya kukutana nae mara mbili na kupata uhondo kimya kimya, nilihakikisha hakuna atakaejua kati ya wale kaka zake. Aisee nina kila sababu ya kumsifia huyu mtoto.. kuanzia rangi, sura, shape na kila kitu chake..
Katika kukutana huko, nilipata wasaa wa kumpiga picha nyingi sana. Alinisisitiza tena zisionekane kwa kaka zake, hatamani kabisa iwe hivyo kwakuwa ananipenda sana, ikijulikana uhusiano utaharibiwa nikampa uhakika.
***************
Kuna rafiki yangu mwingine tofauti kabisa na kaka zake demu, ni mwanangu kitambo sana. Kutokana na majukumu mbalimbali tumekuwa tukikutana mara nyingi weekends tu. Jana nikiwa nae sehemu tumekaa aliniomba simu mara moja. Katika kupekua akakutana na picha za yule binti.. Ghafla nikaona kama jamaa kapaniki, ikabidi aniulize huyu demu unamjua? Nikamwambia ndio namjua. Akaniambia ni nani yako? Mie kimasikhara nikamwambia mbona picha zinajieleza kaka.. aisee jamaa mood yote ikakata kabisa. Akawa ananiambia huyu ni demu wangu kitambo sana.. nikawa siamini, ikabidi anionyeshe chatting zake na demu na picha alizokuwa nazo. Kuona haitoshi akampigia na simu kabisa kuthibitisha. Kweli aisee wakaongea kisha jamaa akakata simu.. Nilichoka hata mimi, binti ninaempenda kumbe tena na jamaa yangu anaishi hapo. Ikabidi nimwambie jamaa, mie sina muda sana tangu niingie nae kwenye mahusiano na wala sijawahi kukueleza kama nina mwanamke mwingine. Kibaya zaidi nawewe kwa muda wote huo hukuwahi hata kuniambia wala kunionyesha kama huyu ni mwanamke wako.. Jamaa hadi analia kabisa, nikaona hii ni serious kumbe.
Nilichomwambia jamaa ni kuwa mie nipo tayari kumpotezea kwakuwa wewe ulikuwa nae tangu zamani ili upate kuendelea nae wewe.. Lakini kiufupi binti nampenda zaidi ya sana na mimi sijui naamua vipi hapa. Kibaya zaidi binti kanipigia simu usiku wa jana wakati wa kulala, na leo asubuhi sana kujua nimeamkaje, so romantic call na inaonyesha kabisa hakuna anachojua hadi sasa.
Ushauri wenu tafadhali. Naamuaje hapa ili nisiumie? I love her deeply for sure
Sio poa aisee.. chozi kabisaKwa hiyo jamaa analia kabisa kwa watoto wa kisingida?
Daah aisee ndo mana bandari imeuzwa kumbe
Haya, wewe mwenye mchango mmefikia wapi suala la bandari?vijana wa hivi mnamchango mdogo sana kwa Taifa
Hapo mwamba kawaza mengi...uwezi jua labda demu anampa marinda sasa nawaza dah na huyu nae anapwewa .Sio poa aisee.. chozi kabisa