Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Hiyo faida ya kama 12500 per day si mbaya kwa biashara yako upo vizuri sana,ila tu hiyo faida iwe ya dukani nikimaanisha inunue mzigo mwingine na kuongeza mtaji wa duka lako.

yani nasema hivi hiyo 12500 iwe faida baada ya kutoa kodi ya frem,matumizi ya ofisi,matumizi binafsi (kama unapategemea hapo)nk kisha mkononi ukibaki na 12500 asee una bonge moja la biiashara.

ila sasa kama hiyo faida yako bado hujatoa matumizi ya ofisi,hujatoa kodi ya frem,hujatoa makorokweche mengine Asee don't count it kama faida.

Nakupongeza kama Hyo faida ni baada ya Kutoa kila ktu asee ndugu hongera sana sana sana maana kwa siku unaweka kwenye kibubu zaidi ya 10k ukiwa umeshakula umeshafanya kila kitu na jioni unahifadhi ka 10k kako asee uko vizuri sana sana.

Hongera sana kwa hilo.


ila kama ni tofauti na hapo mkuuu una safari bado kazana kazana mno,jiongeze weka vi huduma tofauti hapo ofisini kwako wawekee tgo pesa wateja watoe na kuweka,wawekee vocha wakati akinunua vocha ataona ki chupi ataulizia bei,wawekee FRIJI la dsplay linauzwa 500k kale kadogo wawekee maji na juice.

Ongezea pato lako na vibiashara vya kijinga jinga,na kwakua unauza Chupi na Bikini sio mbaya ukienda town ukanunua

Vikuku vya miguuuni na Cheni za kiunoni ukawawekea

Vikuku town wanauza jumla sh 1000 kwa kimoja vizuri mpk 1500-2000,so ukiweka vikuku na cheni hapo aaaha utauza sana mkuuu nakuhakikishia,mwanamke anaevaa bikini huyo hashindwi vaa cheni ya kiunoni,trust me you will make a deal through it.

Weka vi hereni hereni vi pete pete vya urembo aaaaah mkuuuu nasema hiviii usikubali wakuite muuza bikini/chupi duka lako lipe huduma zote zinazoendana na BIDHAA KUU (chupi/bikini)

Utanikumbuka siku 1.
Thank you mkuu kwa kuja hapa maoni yako ni muhimu sana
 
Hiyo faida ya kama 12500 per day si mbaya kwa biashara yako upo vizuri sana,ila tu hiyo faida iwe ya dukani nikimaanisha inunue mzigo mwingine na kuongeza mtaji wa duka lako.

yani nasema hivi hiyo 12500 iwe faida baada ya kutoa kodi ya frem,matumizi ya ofisi,matumizi binafsi (kama unapategemea hapo)nk kisha mkononi ukibaki na 12500 asee una bonge moja la biiashara.

ila sasa kama hiyo faida yako bado hujatoa matumizi ya ofisi,hujatoa kodi ya frem,hujatoa makorokweche mengine Asee don't count it kama faida.

Nakupongeza kama Hyo faida ni baada ya Kutoa kila ktu asee ndugu hongera sana sana sana maana kwa siku unaweka kwenye kibubu zaidi ya 10k ukiwa umeshakula umeshafanya kila kitu na jioni unahifadhi ka 10k kako asee uko vizuri sana sana.

Hongera sana kwa hilo.


ila kama ni tofauti na hapo mkuuu una safari bado kazana kazana mno,jiongeze weka vi huduma tofauti hapo ofisini kwako wawekee tgo pesa wateja watoe na kuweka,wawekee vocha wakati akinunua vocha ataona ki chupi ataulizia bei,wawekee FRIJI la dsplay linauzwa 500k kale kadogo wawekee maji na juice.

Ongezea pato lako na vibiashara vya kijinga jinga,na kwakua unauza Chupi na Bikini sio mbaya ukienda town ukanunua

Vikuku vya miguuuni na Cheni za kiunoni ukawawekea

Vikuku town wanauza jumla sh 1000 kwa kimoja vizuri mpk 1500-2000,so ukiweka vikuku na cheni hapo aaaha utauza sana mkuuu nakuhakikishia,mwanamke anaevaa bikini huyo hashindwi vaa cheni ya kiunoni,trust me you will make a deal through it.

Weka vi hereni hereni vi pete pete vya urembo aaaaah mkuuuu nasema hiviii usikubali wakuite muuza bikini/chupi duka lako lipe huduma zote zinazoendana na BIDHAA KUU (chupi/bikini)

Utanikumbuka siku 1.
Lakini hata lile somo lako la Ongeza Thamani nililichukua mkuu
IMG_20200103_152429.jpg
 
Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.

Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.

Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.

Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+

Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.

Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.

Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .

Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Nitajie hata PM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakupa Hongera sana jamaa, wengi wanshindwa kuthubutu, pili Nidhamu kubwa sana ya pesa,
Maana kwa mwaka kama utabaki na mtaji huohuo utamake 4m plus,
Ujataja chupi za haina gani kama za kike basi Hongera Tena ilinishindaga nikafunga duka maana nilijigundua napenda sana Chupi
Hahahaha uliishia kuzivaa mwenyewe,,,,,, me nilifuga kuku ila kwakupenda kula nyama yakuku nilijikuta nimewatafuna wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.

Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.

Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.

Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+

Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.

Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.

Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .

Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Kabla ya kusema umeingiza 1,092,600 ni vizuri ukatenga mshahara wako wa miezi mitatu iliokaa dukani. Laki 900,000 kuzalisha 1,092,600 kwa miezi mitatu siyo haba ila hujatuambia hiyo 1,092,600 umepataje?

Maana faida unatakiwa uchukua bidhaa zote zilizopo dukani +cash + madeni unayodai nje - zile unazodaiwa wewe mfano hiyo TZS 800,000
 
Mkuu kwa mtaji wangu bado sijaanza kujilipa SASA SIJUI NAKOSEA AU LAH
Kabla ya kusema umeingiza 1,092,600 ni vizuri ukatenga mshahara wako wa miezi mitatu iliokaa dukani. Laki 900,000 kuzalisha 1,092,600 kwa miezi mitatu siyo haba ila hujatuambia hiyo 1,092,600 umepataje? Maana faida unatakiwa uchukua bidhaa zote zilizopo dukani +cash + madeni unayodai nje - zile unazodaiwa wewe mfano hiyo TZS 800,000
 
Maana faida unatakiwa uchukua bidhaa zote zilizopo dukani +cash + madeni unayodai nje - zile unazodaiwa wewe mfano hiyo TZS 800,000
Upande wa Cash huwezi kunikuta Nina cash labda kama nimebahatika kuuza siku husika pesa yote nitakayouza naiagiza mzigo so hata hiyo Faida NAIONA KWENYE DAFTAR LANGU TU
 
Mkuu kwa mtaji wangu bado sijaanza kujilipa SASA SIJUI NAKOSEA AU LAH
Unaishije kama full time uko dukani? Namna pekee ya kuwa na nidhamu kwenye biashara yako ni kujipangia kiwango cha kuchukua kulingana na ukubwa wa biashara yako.

Mwaka 2005 niliacha kazi ya mshahara wa TZS 1,500,000 nikafungua biashara yangu; nilianza kujilipa TZS 150,000 kwa mwezi; ikaja laki 300,000 baadaye 1,000,000 na sasa nina mshahara wa kunitosha kusomesha vijana wangu shule zenye majina
 
Upande wa Cash huwezi kunikuta Nina cash labda kama nimebahatika kuuza siku husika pesa yote nitakayouza naiagiza mzigo so hata hiyo Faida NAIONA KWENYE DAFTAR LANGU TU
Fanya stock ujui bidhaa zilizopo dukani kwa bei ya kununulia zina thamani gani. Hiyo ya kwenye daftari ni "CASH PROFIT"
 
Biashsra gani unafanya
Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.

Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.

Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.

Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+

Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.

Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.

Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .

Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom