Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

15904308411891002852292.jpg


THE BREED
 
Hongera sana kwa uthubutu nakushauri utafute kabati la kiooo weka body spray perfume za Bei rahisi, deodorant make up na other vipodozi ukipata Mpesa Airtel money na Tigo pesa utaona raha ya biashara.

Nafanya hii biashara though sio mkubwa kivileee nani ndo kama nimeanza.
 
Hiyo Biashara ya chupi ningefanya mimi ningewatafuna sana hawa wadada maana kwakweli sinaga uvumilivu kuangaliana na vifuniko vya papuchi
 
Hiyo Biashara ya chupi ningefanya mimi ningewatafuna sana hawa wadada maana kwakweli sinaga uvumilivu kuangaliana na vifuniko vya papuchi
Unakwama wapi kuanza kuifanya ujitafunie wadada hao
 
Hongera sana kwa uthubutu nakushauri utafute kabati la kiooo weka body spray perfume za Bei rahisi, deodorant make up na other vipodozi ukipata Mpesa Airtel money na Tigo pesa utaona raha ya biashara.

Nafanya hii biashara though sio mkubwa kivileee nani ndo kama nimeanza.
Asante sana Mkuu now mambo ni motoo M-pesa ipo spray zipo hereni zipo nywele nk
 
Hiyo Biashara ya chupi ningefanya mimi ningewatafuna sana hawa wadada maana kwakweli sinaga uvumilivu kuangaliana na vifuniko vya papuchi
Pole mkuu 😀
 
Hiyo faida umeikokotoa vipi?

Je manunuzi yako yalikuwa kiasi gani?

Umeuza kiasi gani?

Gharama nyinginezo umeingia kiasi gani?

Je umeajiri mtu au watu wa kufanya hiyo kazi au unaifanya wewe mwenyewe?

Kwa kuanzia naomba jibu hayo kwanza kisha tutaendelea kidogo.
 
Hiyo faida ya kama 12500 per day si mbaya kwa biashara yako upo vizuri sana,ila tu hiyo faida iwe ya dukani nikimaanisha inunue mzigo mwingine na kuongeza mtaji wa duka lako.

yani nasema hivi hiyo 12500 iwe faida baada ya kutoa kodi ya frem,matumizi ya ofisi,matumizi binafsi (kama unapategemea hapo)nk kisha mkononi ukibaki na 12500 asee una bonge moja la biiashara.

ila sasa kama hiyo faida yako bado hujatoa matumizi ya ofisi,hujatoa kodi ya frem,hujatoa makorokweche mengine Asee don't count it kama faida.

Nakupongeza kama Hyo faida ni baada ya Kutoa kila ktu asee ndugu hongera sana sana sana maana kwa siku unaweka kwenye kibubu zaidi ya 10k ukiwa umeshakula umeshafanya kila kitu na jioni unahifadhi ka 10k kako asee uko vizuri sana sana.

Hongera sana kwa hilo.


ila kama ni tofauti na hapo mkuuu una safari bado kazana kazana mno,jiongeze weka vi huduma tofauti hapo ofisini kwako wawekee tgo pesa wateja watoe na kuweka,wawekee vocha wakati akinunua vocha ataona ki chupi ataulizia bei,wawekee FRIJI la dsplay linauzwa 500k kale kadogo wawekee maji na juice.

Ongezea pato lako na vibiashara vya kijinga jinga,na kwakua unauza Chupi na Bikini sio mbaya ukienda town ukanunua

Vikuku vya miguuuni na Cheni za kiunoni ukawawekea

Vikuku town wanauza jumla sh 1000 kwa kimoja vizuri mpk 1500-2000,so ukiweka vikuku na cheni hapo aaaha utauza sana mkuuu nakuhakikishia,mwanamke anaevaa bikini huyo hashindwi vaa cheni ya kiunoni,trust me you will make a deal through it.

Weka vi hereni hereni vi pete pete vya urembo aaaaah mkuuuu nasema hiviii usikubali wakuite muuza bikini/chupi duka lako lipe huduma zote zinazoendana na BIDHAA KUU (chupi/bikini)

Utanikumbuka siku 1.
Kwa biashara anayofanya mtoa thread...hii comments ikiiifanýia atafika mbali sana
 
Back
Top Bottom