jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Licha ya hivyo bado maendeleo yatawagusa wote wenye vyama na wasio na vyama.Maendeleo Yana chama.
Katibu wenu mwenyewe amekiri nchi imeharibiwa.
Imeharibiwa wakati viongozi wote ni wenu.
#MaendeleoHayanaChama