Nimeishiwa nguvu na nimekuwa Mtu mwenye kukata tamaa kwa Mkasa ulionikuta

Nimeishiwa nguvu na nimekuwa Mtu mwenye kukata tamaa kwa Mkasa ulionikuta

Wakuu habarini!
Nimekuja kwenu naomba nisaidiwe kimawazo na ushauri.

Hivi karibuni nilipeleka barua ya uchumba (posa ) na Mambo yalienda freshi tu. Kikao Cha kupangiana mahari makubaliano yalikuwa kifanyike ijumaa hii. Nimejikuta nina mawazo Sana kwani hela niliyoiandaa kwa ajili ya kuitolea mahari kiasi Cha 700,000 nimekitumia chote kutokana na mkasa ulionipata pasipo kutegemewa jana usiku.

Hipo hivi, Mimi ni dereva bajaji DSM nilijikuta nimeikwaruza gari ubavuni na kuivunja taa ya kulia maeneo ya round about. So mwenye gari akaniamuru ili tusifikishane mbali nimlipe kiasi Cha sh. 650,000 ili akafanye matengenezo ya gari lake, vinginevyo atachukua hatua za kisheria kwani makosa yalikuwa ni yangu. Hivyo nikamlipa.

Nahisi kukata tamaa, kikao ni jumatatu na Sina mpango wa kupata hela nyingine kwa Sasa. Wazee wangu wapo mikoani hivyo hapa town nawatumia wazee tu wa kujuana, na ninaogopa hata kuwaambia kwani watahisi nafanya usanii.

Hivyo nilikua nauliza, Je itawezekana kwenda ku bargain mahali tu kwa sasa hiyo siku, then nitalipa siku nyingine? Hata baada ya mwezi? Au ni lazima kwenye kikao hicho watanitaka kulipa hela kidogo?

Kama Kuna mtu mwenye uzoefu au utaalamu na haya Mambo naomba anisaidie kimawazo au ushauri

Ahsante!

Moniely
Dsm.
Waeleze ukweli.
jinsi watakavyokuona haina shida hata kidogo kama mchumba wako anakupenda na anataka awe na wewe.
ataendelea kuwa nawe na mtavumiliana mpaka ujipange upya. mana iyo ishu ni wewe na mchumba ako hao wengine sio wa kuwa wazia sana.

ukiangalia upande wa pili, pengine halikua fungu lako na umeepushiwa mabaya kwa laki 7.
 
Wakuu habarini!
Nimekuja kwenu naomba nisaidiwe kimawazo na ushauri.

Hivi karibuni nilipeleka barua ya uchumba (posa ) na Mambo yalienda freshi tu. Kikao Cha kupangiana mahari makubaliano yalikuwa kifanyike ijumaa hii. Nimejikuta nina mawazo Sana kwani hela niliyoiandaa kwa ajili ya kuitolea mahari kiasi Cha 700,000 nimekitumia chote kutokana na mkasa ulionipata pasipo kutegemewa jana usiku.

Hipo hivi, Mimi ni dereva bajaji DSM nilijikuta nimeikwaruza gari ubavuni na kuivunja taa ya kulia maeneo ya round about. So mwenye gari akaniamuru ili tusifikishane mbali nimlipe kiasi Cha sh. 650,000 ili akafanye matengenezo ya gari lake, vinginevyo atachukua hatua za kisheria kwani makosa yalikuwa ni yangu. Hivyo nikamlipa.

Nahisi kukata tamaa, kikao ni jumatatu na Sina mpango wa kupata hela nyingine kwa Sasa. Wazee wangu wapo mikoani hivyo hapa town nawatumia wazee tu wa kujuana, na ninaogopa hata kuwaambia kwani watahisi nafanya usanii.

Hivyo nilikua nauliza, Je itawezekana kwenda ku bargain mahali tu kwa sasa hiyo siku, then nitalipa siku nyingine? Hata baada ya mwezi? Au ni lazima kwenye kikao hicho watanitaka kulipa hela kidogo?

Kama Kuna mtu mwenye uzoefu au utaalamu na haya Mambo naomba anisaidie kimawazo au ushauri

Ahsante!

Moniely
Dsm.
Bajaj haikua na bima?
 
Utalipa tuu peleka hyo elfu 50 kwanza...haina shida.
Pole
 
Wakuu habarini!
Nimekuja kwenu naomba nisaidiwe kimawazo na ushauri.

Hivi karibuni nilipeleka barua ya uchumba (posa ) na Mambo yalienda freshi tu. Kikao Cha kupangiana mahari makubaliano yalikuwa kifanyike ijumaa hii. Nimejikuta nina mawazo Sana kwani hela niliyoiandaa kwa ajili ya kuitolea mahari kiasi Cha 700,000 nimekitumia chote kutokana na mkasa ulionipata pasipo kutegemewa jana usiku.

Hipo hivi, Mimi ni dereva bajaji DSM nilijikuta nimeikwaruza gari ubavuni na kuivunja taa ya kulia maeneo ya round about. So mwenye gari akaniamuru ili tusifikishane mbali nimlipe kiasi Cha sh. 650,000 ili akafanye matengenezo ya gari lake, vinginevyo atachukua hatua za kisheria kwani makosa yalikuwa ni yangu. Hivyo nikamlipa.

Nahisi kukata tamaa, kikao ni jumatatu na Sina mpango wa kupata hela nyingine kwa Sasa. Wazee wangu wapo mikoani hivyo hapa town nawatumia wazee tu wa kujuana, na ninaogopa hata kuwaambia kwani watahisi nafanya usanii.

Hivyo nilikua nauliza, Je itawezekana kwenda ku bargain mahali tu kwa sasa hiyo siku, then nitalipa siku nyingine? Hata baada ya mwezi? Au ni lazima kwenye kikao hicho watanitaka kulipa hela kidogo?

Kama Kuna mtu mwenye uzoefu au utaalamu na haya Mambo naomba anisaidie kimawazo au ushauri

Ahsante!

Moniely
Dsm.
Usiumize kichwa ndugu,kwa kuwa Unaenda kupangiwa magari wewe nenda TU.mkimaliza utawaambia nitamakuzia baada ya miezi sita lakini NAOMBA binti yenu nikaishi NAE.
Tafuta TU laki 2 au moja na busy uende nayo
 
Usiumize kichwa ndugu,kwa kuwa Unaenda kupangiwa magari wewe nenda TU.mkimaliza utawaambia nitamakuzia baada ya miezi sita lakini NAOMBA binti yenu nikaishi NAE.
Tafuta TU laki 2 au moja na busy uende nayo
Shukran sana mkuu 🙏🏼
 
Usiumize kichwa ndugu,kwa kuwa Unaenda kupangiwa magari wewe nenda TU.mkimaliza utawaambia nitamakuzia baada ya miezi sita lakini NAOMBA binti yenu nikaishi NAE.
Tafuta TU laki 2 au moja na busy uende nayo
Ahsante Sana mkuu
 
Waeleze ukweli.
jinsi watakavyokuona haina shida hata kidogo kama mchumba wako anakupenda na anataka awe na wewe.
ataendelea kuwa nawe na mtavumiliana mpaka ujipange upya. mana iyo ishu ni wewe na mchumba ako hao wengine sio wa kuwa wazia sana.

ukiangalia upande wa pili, pengine halikua fungu lako na umeepushiwa mabaya kwa laki 7.
Shukran sana mkuu
 
pole mkuu kwa ajali, kama nimekuelewa vizuri ni kwamba umeshapeleka barua ya uchumba na ukakubaliwa hatua inayofuata ni wazee kwenda kujadiliana taratibu za mahari n.a. mambo mengine, nikwambie mahari sio lazima ilipwe siku hiyo wazee baada ya kukubaliana wataomba muda wa lini watapeleka kwa hiyo gharama zinazohitajika ni nauli tu za wazee wako.
🙏🏼🙏🏼
 
Wakuu habarini!
Nimekuja kwenu naomba nisaidiwe kimawazo na ushauri.

Hivi karibuni nilipeleka barua ya uchumba (posa ) na Mambo yalienda freshi tu. Kikao Cha kupangiana mahari makubaliano yalikuwa kifanyike ijumaa hii. Nimejikuta nina mawazo Sana kwani hela niliyoiandaa kwa ajili ya kuitolea mahari kiasi Cha 700,000 nimekitumia chote kutokana na mkasa ulionipata pasipo kutegemewa jana usiku.

Hipo hivi, Mimi ni dereva bajaji DSM nilijikuta nimeikwaruza gari ubavuni na kuivunja taa ya kulia maeneo ya round about. So mwenye gari akaniamuru ili tusifikishane mbali nimlipe kiasi Cha sh. 650,000 ili akafanye matengenezo ya gari lake, vinginevyo atachukua hatua za kisheria kwani makosa yalikuwa ni yangu. Hivyo nikamlipa.

Nahisi kukata tamaa, kikao ni jumatatu na Sina mpango wa kupata hela nyingine kwa Sasa. Wazee wangu wapo mikoani hivyo hapa town nawatumia wazee tu wa kujuana, na ninaogopa hata kuwaambia kwani watahisi nafanya usanii.

Hivyo nilikua nauliza, Je itawezekana kwenda ku bargain mahali tu kwa sasa hiyo siku, then nitalipa siku nyingine? Hata baada ya mwezi? Au ni lazima kwenye kikao hicho watanitaka kulipa hela kidogo?

Kama Kuna mtu mwenye uzoefu au utaalamu na haya Mambo naomba anisaidie kimawazo au ushauri

Ahsante!

Moniely
Dsm.
KATAA NDOA
 
Tafuta pesa ya kuwakimu na kuwasafirisha wazee wako wa mjini, kisha wapatia hata 100,000 kwaajili ya kutanguliza posa na wakatihuo watatoa ahadi ya kulipa mahari mwezi wa October au November inakua imeisha hiyo.
Hayo yafanye baada ya kuongea na mke wako mtarajiwa, naamini hakuna kitakacho haribika sababu lazima binti atamshirikisha mama yake changamoto yako.
Zingatia kwasasa ukweni kwako pressure kubwa walio nayo ni wewe kwenda kujitambulisha na kubagain mahari. Yaani saizi kwenda kwako ndio jambo kubwa kwao na sio mahari.
Oyaa mzee Ushimen siku nikivurugwa na nikataka kuoa. Basi Nita kuita twende😂🤣🤣
 
Back
Top Bottom