Nimeisikiliza hii hotuba ya Magufuli, nimeishia kutoa machozi tu

Nimeisikiliza hii hotuba ya Magufuli, nimeishia kutoa machozi tu

Rais yupi alilipa mshahara tarehe 15 ya mwezi unaofuata? Aache uongo huyu mwendazake
 
Hiyo miradi ndiyo inayolipiwa na tozo na mikopo ya sasa. Hakuna kitu cha bure duniani.
 
Yaan mwanaume unatoa machozi kwa sauti tu?? We jamaa nyanda yupo au akishaondolewa kwa nguvu??
 
Back
Top Bottom