Rwajabe n so on [emoji24]RIP Ben Sanane, Azory,
Huyu mtu alikuwa Jiwe hasa. Kuja kupata visionary leader kama huyu itachukua muda sana. R. I. P shujaa wa Africa.Endelea kupumzika kwa amani
mheshimiwa .
Dah!!!!!!!!Una machozi ya kuchezea aisee .
Punguza ujinga kichwani utaacha kutoa machoziEndelea kupumzika kwa amani
mheshimiwa .
Mi mpaka nilie kazi ipo .Kwanza silii tu tena kwa hawa wanasiasa ndio kabisaaa.Dah!!!!!!!!
Huu upupu uliojaza hapa, bora ungeendela kulala. Yaan hujui kuwa hata mshahara walipe kila tar 15 bado itakuwa siku 30??Enzi za Mwinyi mshahara ilikuwa hadi tarehe 45.
Mkapa ilikuwa kuanzia tarehe 19 hadi 25.
Kikwete ilikuwa tarehe 25 hadi 28.
Mwamba akashusha kwenda tarehe 22 hadi 23.
Nimepitia mishahara yote hiyo. Naielewa vizuri sana. Nilianza na 6775.50 ikiwa imejumuisha na posho ya mazingira magumu.
Yani mwezi huu ulipwe mshahara let's say tarehe 23, then mwezi ujao ulipwe tarehe 31,itakua bado ni siku 30 hizo?naona wewe ndiye ulitakiwa kuendelea kulala mkuuHuu upupu uliojaza hapa, bora ungeendela kulala. Yaan hujui kuwa hata mshahara walipe kila tar 15 bado itakuwa siku 30??
Acha uongo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.kipindi cha JK kilikuwa worse zaidi.upigaji ulikuwa mkubwa na ndo kipindi ambacho biashara ya madawa ya kulevya yalishamiri.Utaratibu wa salaries kulipwa 23-24 kama sikosei alianzisha Mkapa au JK ila sio huyu kiongozi wa Malaika
Hatuzungumzii madawa, hatuzungumzii upigaji, tunazungumzia kulipwa kwa salary, uwe unasoma kabla ya kujibu!Acha uongo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.kipindi cha JK kilikuwa worse zaidi.upigaji ulikuwa mkubwa na ndo kipindi ambacho biashara ya madawa ya kulevya yalishamiri.
Aliyewahi kulipwa salary tarehe 15 ya mwezi mwingine aje hapa aweke salary slip..Endelea kupumzika kwa amani
mheshimiwa .
Sio kweli Mishahara ilikuwa inachelewa enzi za Mzee Mwinyi kipindi cha Kikwete licha ya mishahara kuwahi pia ilikuwa inaongezwa kila mwakaEnzi za kikwete mishahara ilikua hadi tarehe 40 huko
Mwangosi, Ulimboka na wale 5 waliouawa kwenye mkutano wa chadema kwa bamu nao vipi?Rwajabe n so on [emoji24]