Nimeisikiliza hii hotuba ya Magufuli, nimeishia kutoa machozi tu

Kama unaweza kutoka machozi kw hotuba ya huyo Shetani basi una kasoro za kinasaba. Tafuta madaktari wa saikolijia wakutibu. Mpumbavu mkubwa unatoka machozi halafu unapata mpaka ujasiri wa kuandika hapa kuwa machozi yamekutoka
bwege sana hilo lijamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…