Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Hizo ni Dawa zakukufanya uwe kama Rayvan(zezeta),vumilia MKUU ili upate tuzo za BET
 
Duh!!!!!! pole sana mkuu najua ,ateso ya kisaokolojia hapo ndo makubwa zaidi ya kila kitu...
 
Duh!!!!
Hii ngumu kumeza, aisee.
Mkuu, we tafuta shekhe, akuambie nini maana yake.
Then utajua nini maana yake na utajua wewe ufanye nini. Pole sana
 
Mpaka hapo,sina tena imani naye,lakini nataka kujua nini hasa maana ya maandishi hayo????


tatzo unaamini mambo ya ushirikina hakuna mambo ambayo siamini km hayo madubwana! we piga kimya au muulize! itafika kipindi umejikwaa utahis anakuloga hehheheh pole sana
 
We mkuu Mungu anakuona umesababisha nicheke gafla aisee JF hiv majibu yenu mnatoaga wapi ! Daaah aiseee
Miss Natafutaaaaa.We chibokoo.Aiseee Sio kwa jibu hilo.Mpaka nimelia
 
Hicho cio kiarabu, ni luga wanayotumia wazee wa albadri umemfanyaje kwan mpenzi wako mpaka aende kwa watu wa badr, mmh dunian kuna mengi
 
Uzuri wa hayo madude ukishayaona tu kwa macho yako, game limeishia hapo.

Mkalishe kitako na umuulize directly huku ukiwatch reaction yake. Ukiona anayumba na kujiumauma ujue hilo bomu lilikuwa la kwako. Mwisho wa siku utaamua mwenyewe hatua ipi uchukue.
 
Back
Top Bottom