Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
HahahahaStaki kuamini leo umepigwa gap kiasi hiki.[emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaStaki kuamini leo umepigwa gap kiasi hiki.[emoji4][emoji4]
Acheni Kumdanganya labda kama mnajua vitabu vya kiganga......Ninachoweza kukushauri mkuu fanya hivi;
Peleka hyo picha ya maandish sehem yoyote palipo na msikiti ulio karib na hapo ulipo then onana na Shekh yeyote privately atakusaidia kupata tafsir
[emoji110][emoji110]Inaonekana binti alikwenda kwa fundi labda kukutengeneza ila amekutana na findi tapeli kwa sie tunaejua lugha hii hapo hakuna neno la maana linaloweza kusomeka kwa ufupi naweza kusema fundi kajua huyo binti hajui hyo lugha so ndo maana kaamua kumdanganya
Hapo kaandika herufi tu za kiarabu ni sawa na wewe uandike z,x,c,v,t,y,w,a yaan ilimradi tu umuhadae mtu ila niamini mimi kuwa hakuna maana yeyote hapo na wala hakuna neno lolote la maana lililoandikwa hapo.
Hapa huwa ndo naamini maneno ya dada faiza foxy kuwa "wajinga ndo waliwao" hapo mwanamke wako kadanganywa
NOTE.
Huyo binti anaonekana ni mshirikina leo kapata fundi tapeli kesho aweza pata mkweli na akakutengeneza vizuri tu so kuwa makini sana.
Muombe Mola hakuna linalomshinda sisi waislam tunafundishwa kuwa uchawi upo ila usiuamini sana maana hutomuamini mola.
Muamini mola hakuna linalomshinda na tunafundishwa katika uislam kukaa mbali na shirki (ushirikina) na watu wake.
Usanii tu ! Hapo kuna j, z, q (caf) na no. 3....vingine kakoroga koroga tu !Mpaka hapo,sina tena imani naye,lakini nataka kujua nini hasa maana ya maandishi hayo????
Hii ndio tafsiri yake?
Dada,huyu mtu tunafanya naye kazi ofisi moja,na tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka miwili sasa,tunaishi kwa kushirikiana sana,nampa support ya kutosha,na yeye pia huni support pindi napohitaji kampani yake!!!Nyie mlilkutana njia panda !!
Inaoneknana we ni mbishi sana na bahiri kwake,
kunavitu anataka humpi so kaenda kwa mtaaalam ili uwe laini ka mchicha mchanga!!
na mpaka hapo ushalishwa unga wa ndele[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wiki tatu zijazo utakua unaimba mwenyewe na kukata mauno barabarani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]khaaaa! Kuna watu wanajua kutisha wenzao jmn looh[emoji75]![]()
Tayari mtambo ushalipuka
U r going too far mkuu[emoji41][emoji41]Pole sana mkuu, hapa namkumbuka mwl. wangu wa literature alikuwa anatuambia, "always don't trust a woman, women are women they could never understand ..." hapo mkuu kifo kinakunyemelea kuwa naye makini sana.
Mkuu sio kila kitu cha kukimbilia..aliogopa alivyoona hayo makinikia.Staki kuamini leo umepigwa gap kiasi hiki.[emoji4][emoji4]
Miss natafuta,ukifanya tu hilo utakuwa miss nimepatikana!!!DUNIA INA MAMBO .NIMECHOKA UPWEKE NGOJA NA MIE NIKALOGE NAOMBA NAMBA YA MPENZI WAKO MKUU
Unataka mwenzio aeleweke vibaya !?...unawezaje kumpa mtu kitu akusomee wakati hakuna kitu kilicho andikwa ?Ninachoweza kukushauri mkuu fanya hivi;
Peleka hyo picha ya maandish sehem yoyote palipo na msikiti ulio karib na hapo ulipo then onana na Shekh yeyote privately atakusaidia kupata tafsir
Miss natafutaaaaa!!!mbona vitisho zaidi kuliko faraja na ushauri wenyewe??JAMAA KAFUNGWA MPAKA MAPUUUMBU
Brother kwa maelezo ayo basi uyo nia yake sio mbaya ila nia yake imepitiliza uzur na vivu yawezekana hataki akukose kwa namna yoyote ile na inaonekana yeye ndiye mwenye mapezi ya dhati juu yako kuliko wewe kwake ......Dada,huyu mtu tunafanya naye kazi ofisi moja,na tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka miwili sasa,tunaishi kwa kushirikiana sana,nampa support ya kutosha,na yeye pia huni support pindi napohitaji kampani yake!!!
hahahaa afu ujue we akil huna nimechekaJAMAA KAFUNGWA MPAKA MAPUUUMBU