Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Ninachoweza kukushauri mkuu fanya hivi;
Peleka hyo picha ya maandish sehem yoyote palipo na msikiti ulio karib na hapo ulipo then onana na Shekh yeyote privately atakusaidia kupata tafsir
Acheni Kumdanganya labda kama mnajua vitabu vya kiganga......
 
Nyie mlilkutana njia panda !!

Inaoneknana we ni mbishi sana na bahiri kwake,

kunavitu anataka humpi so kaenda kwa mtaaalam ili uwe laini ka mchicha mchanga!!

na mpaka hapo ushalishwa unga wa ndele[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Wiki tatu zijazo utakua unaimba mwenyewe na kukata mauno barabarani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Inaonekana binti alikwenda kwa fundi labda kukutengeneza ila amekutana na findi tapeli kwa sie tunaejua lugha hii hapo hakuna neno la maana linaloweza kusomeka kwa ufupi naweza kusema fundi kajua huyo binti hajui hyo lugha so ndo maana kaamua kumdanganya

Hapo kaandika herufi tu za kiarabu ni sawa na wewe uandike z,x,c,v,t,y,w,a yaan ilimradi tu umuhadae mtu ila niamini mimi kuwa hakuna maana yeyote hapo na wala hakuna neno lolote la maana lililoandikwa hapo.

Hapa huwa ndo naamini maneno ya dada faiza foxy kuwa "wajinga ndo waliwao" hapo mwanamke wako kadanganywa

NOTE.
Huyo binti anaonekana ni mshirikina leo kapata fundi tapeli kesho aweza pata mkweli na akakutengeneza vizuri tu so kuwa makini sana.
Muombe Mola hakuna linalomshinda sisi waislam tunafundishwa kuwa uchawi upo ila usiuamini sana maana hutomuamini mola.
Muamini mola hakuna linalomshinda na tunafundishwa katika uislam kukaa mbali na shirki (ushirikina) na watu wake.
[emoji110][emoji110]
 
Nyie mlilkutana njia panda !!

Inaoneknana we ni mbishi sana na bahiri kwake,

kunavitu anataka humpi so kaenda kwa mtaaalam ili uwe laini ka mchicha mchanga!!

na mpaka hapo ushalishwa unga wa ndele[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Wiki tatu zijazo utakua unaimba mwenyewe na kukata mauno barabarani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Dada,huyu mtu tunafanya naye kazi ofisi moja,na tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka miwili sasa,tunaishi kwa kushirikiana sana,nampa support ya kutosha,na yeye pia huni support pindi napohitaji kampani yake!!!
 
a99f1fdc67fd19bd91cc1cd6aaa1a96b.jpg


Tayari mtambo ushalipuka
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]khaaaa! Kuna watu wanajua kutisha wenzao jmn looh[emoji75]
 
Pole sana mkuu, hapa namkumbuka mwl. wangu wa literature alikuwa anatuambia, "always don't trust a woman, women are women they could never understand ..." hapo mkuu kifo kinakunyemelea kuwa naye makini sana.
U r going too far mkuu[emoji41][emoji41]
 
Ninachoweza kukushauri mkuu fanya hivi;
Peleka hyo picha ya maandish sehem yoyote palipo na msikiti ulio karib na hapo ulipo then onana na Shekh yeyote privately atakusaidia kupata tafsir
Unataka mwenzio aeleweke vibaya !?...unawezaje kumpa mtu kitu akusomee wakati hakuna kitu kilicho andikwa ?
 
Ushaufuma wala hauna madhara kabisa hongera kw kugundua mapema
 
Dada,huyu mtu tunafanya naye kazi ofisi moja,na tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka miwili sasa,tunaishi kwa kushirikiana sana,nampa support ya kutosha,na yeye pia huni support pindi napohitaji kampani yake!!!
Brother kwa maelezo ayo basi uyo nia yake sio mbaya ila nia yake imepitiliza uzur na vivu yawezekana hataki akukose kwa namna yoyote ile na inaonekana yeye ndiye mwenye mapezi ya dhati juu yako kuliko wewe kwake ......

Ivyo usimuache kwamaana inaonekana kilichotokea apo ni yeye kutafuta njia ya kutokukupoteza kipenzi chake ambaye ni wewe yawezekana aliona mabadiliko kwako au alisikia kuna mwenza wenu apo job naye anavutiwa na wewe na kupelekea kufanya ayo ili asikupoteze swahiba....habib wake ...

Kuthibitisha na hatua ya kuchukua mdadisi uku ukiwa unamualibu dhana nzima aliyokuwa nayo kisaikolojia na kumfanya amin akuna litakaloweza kuendelea baina yenu mbaka akueleze nini kilichomsukuma kufanya ayo na akwambia na alifanya ramli ya namna gani iyo kwako ukifanya mambo yatakayousiana na aya niliyojitaid kueleza kwa upeo wangu mfupi utajua maana nzima ya ayo maandishi ,picha yako ,kanyama kenye kunuka kwa namna yake nk .....

Onyo: usimruhusu kutambua ulichoona kabla ya yeye kuwepo apo na wewe

Na fanya mambo yote aya kabla ajapata mwanya wa kuwasiliana na mgaga wake tena Maana utakua UMEKWISHAA

HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA
 
Back
Top Bottom