Kuna uungu ndani yake.Kabisa mkuu..
Ule msafara wa Putin ulikuwa unatisha hata watazamaji wa nchi za mbali wa kwenye TV, imagine mlengwa mkuu Zelensky ndani ya Kyiv.. Huyu rais siyo wa mchezo bhana, ni jasiri mnoo!
Jipe moyo anakuita...cc Bathelomayo kipofuSasa putin na NATO nani mwanaume.
Nato ni kikundi cha malaya walijiunga pamoja kwa uoga dhidi ya mwanamme Russia
Nilimuona akirejea nchiniKuna Rais wa zamani wa Ukraine naye huwa namuona akihojiwa yupo front kapiga kombati na ana silaha anapambana.
Hawa jamaa wana spirit ya ajabu kuipigania nchi yao.
Mkuu nimetumia utenzi tu kama Miriam alivyoimba baada ya kuvuka bahari ya shamu na kuwaua Farao na jeshi lake.Mkuu; Ulitaka kumaanisha: Kwani amewamaliza Warusi kwa kutumia jeshi la Ukraine ambalo kimwonekano ni dogo na dhaifu? au vp? Fafanua kidogo mkuu.
Zelensky ni mwana wa israel yule au hujui
Ni Petro Poroshenko aliyeshindwa uchaguzi wa marudio na Zelensky. Hata viongozi wakuu wa serikali ya Poroshenko wanashiriki mapigano mtu pekee ambaye namuona yuko kimya ni Alseniy Yatsenyuk aliyekuwa Waziri Mkuu kwa muda mfupi pale Viktor Yanukovich alipokimbia ile 2014.Kuna Rais wa zamani wa Ukraine naye huwa namuona akihojiwa yupo front kapiga kombati na ana silaha anapambana.
Hawa jamaa wana spirit ya ajabu kuipigania nchi yao.
Hahaha... duh! Wakapiga mbio toka Kyiv hadi Donbass 808km! Maiti zitakuwa zilitapakaa njiani.
Sa inahusianaje hapoZelensky ni mwana wa israel yule au hujui?
Naam! Swadakta. Ubarikiwe sana mkuu.Mkuu nimetumia utenzi tu kama Miriam alivyoimba baada ya kuvuka bahari ya shamu na kuwaua Farao na jeshi lake.
Hizo zilikuwa ni propaganda za kivita ili Jamaa Mbabe ajichanganye zaidi.Kwa hiyo majeshi ya Ukraine ndio yalimfukuza Urusi kuendelea kufanya operation kuelekea Kiev au sio??.
Kumbe western media zilitudanganya kuwa Kiev,imeomba Urusi asiendelee na operation kuelekea Kiev ili kupisha mazungumzo.
Kitaeleweka tu mkuu. Muda ndio utakaosema. Huyo Mbabe nionavyo mimi ni kwamba sasa anapiga, anaua, anabomoa n.k. (kicks of the dying horse) yaani yy ni kufanya kila aina ya uharibifu awezavyo kana kwamba ni kama mwendawazimu fulani hv ili mwisho wa siku kuwepo na ulazima wa UN kuweka majeshi kati ya kuwatenganisha Urusi - Ukraine na hapo huyo Mbabe aweze kuificha aibu yake kwa maneno ya kwamba "shukuru sana wee ngurumbili(Ukraine) ......kama sio UN kuingilia kati huu mtifuano, wallah-billah, ww Dogo (Ukraine/Zelensky) ungenitambua kuwa mm ni nani" Lakini ki-ukweli Mbabe huyu (Putin) ameshaigeuza hii kitu(Vita) na kuwa sio vita tena kama tuijuavyo vita bali ni Maangamizi ya makusudi ya Urusi dhidi ya Taifa la Ukraine. Yan afadhali hata KickBoxing ina ka-Utaratibu na Refa huwa anakuwepo ila sio Iilivyo kwa hili la Putin dhidi ya wana-Ukraine. πββοΈ πββοΈTukiachana na taarifa za CNN, BBC kule hali no mbaya sana ktk Majimbo yote na wanasema bora wangelipindua Serikari kuliko kinachojiri Muda huu. Ukraine INACHAKAZWA miundombinu yake ya kijamii na kijeshi akiwa anashuhudia na rafiki zake wa Magharibi. Kukimbia hawezi maana hawana Muda nae.
Kimsingi hakuna anayejua malengo ya Mvamizi yenye usiri mkubwa.
... lingekuwa lile zalendo la kusadikika na vibaraka wake wangekuwa wamejichimbia kusikojulikana. Uzarendo; my foot!Kuna Rais wa zamani wa Ukraine naye huwa namuona akihojiwa yupo front kapiga kombati na ana silaha anapambana.
Hawa jamaa wana spirit ya ajabu kuipigania nchi yao.
Utukufu kwa Mungu MkuuNaam! Swadakta. Ubarikiwe sana mkuu.
... mimi binafsi uliniogofya sana; naona kama ndoto hadi leo sijaamini kama lilikuwa jeshi la kweli! Hollywood wakiamua kutengenezea picha litauzika sana!Kabisa mkuu..
Ule msafara wa Putin ulikuwa unatisha hata watazamaji wa nchi za mbali wa kwenye TV, imagine mlengwa mkuu Zelensky ndani ya Kyiv.. Huyu rais siyo wa mchezo bhana, ni jasiri mnoo!
Utukufu kwa Mungu Mkuu
Putin alitoa maagizo ya kijeuri mapema kabisa. Kwamba wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe immediately; hataki kuona jeshi nchini Ukraine na serikali yote ya Ukraine ijisalimishe mapema mara majeshi yake yatakapoingia huko. Hakuna siri kwamba alitaka kukabidhiwa nchi ya Ukraine kwenye kisahani. Sasa ameshajua kuwa itakuwa vita ya muda mrefu na Ukraine wako tayari kufa kwa ajili ya nchi yao (kama waTaliban) huku wakipigwa tafu na NATO kwa silaha na teknolojia.Tukiachana na taarifa za CNN, BBC kule hali no mbaya sana ktk Majimbo yote na wanasema bora wangelipindua Serikari kuliko kinachojiri Muda huu. Ukraine INACHAKAZWA miundombinu yake ya kijamii na kijeshi akiwa anashuhudia na rafiki zake wa Magharibi. Kukimbia hawezi maana hawana Muda nae.
Kimsingi hakuna anayejua malengo ya Mvamizi yenye usiri mkubwa.
Na akili zako unaamini hoja kuwa Urusi aliombwa asiendelee na vita Kyiv kisa mazungumzo ?Kwa hiyo majeshi ya Ukraine ndio yalimfukuza Urusi kuendelea kufanya operation kuelekea Kiev au sio??.
Kumbe western media zilitudanganya kuwa Kiev,imeomba Urusi asiendelee na operation kuelekea Kiev ili kupisha mazungumzo.
Mkuu umeongeza pilipili km 50 siyo ndogo mkuu