Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Bado hujawa serious wewe [emoji3]Putin katishia Nuke pale vita vilipoanza,Katishia Sweden na Finland kama na wao wataleta chochoko za kujiunga na NATO watakiona cha moto..
Kidume hakina masihara,Juzi kasema Urusi ina silaha kama ikizitumia dunia itashangaa..
NATO waneufyata