Nimejikuta nachukia kula chakula chochote chenye asili ya Roho, naona kama nafanya ukatili

Nimejikuta nachukia kula chakula chochote chenye asili ya Roho, naona kama nafanya ukatili

Kifulu

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
557
Reaction score
2,064
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
 
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
acha tutakukula wewe...🤣
 
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Hongera, umekuwa mtu mzima Sasa. Karibu katika dini ya marastafari.
Together?
 
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Vipi kitimoto umejaribu?
 
viumbe hai vyote(wanyama na mimea) vina asili ya roho.
ila tofauti ni DAMU iliyopo kwa wanyama .Ila roho za viumbe vyote vitakatifu mimea na wanyama zinamtukuza Mungu(muumbaji).
 
Mungu wangu sasa utakula nini?
basi uwe unakula maini na moyo tu.
 
Back
Top Bottom