Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka nimwandikie pia, umeniwahiMimea ni viumbe hai pia, kwa hiyo nayo ina roho
Na mkanda wa ngozi pia.Usikute umevaa kiatu cha ngozi hapo.
Labda amevaa viatu vya mizizi ya mihogoUsikute umevaa kiatu cha ngozi hapo.
Umepata hela ya urithi weweHii ni dalili ya kuwa na pesa unaweza kuchagua vyakula
Ila sisi kalagabaho tunakulaga chochote kinachokuwa mbele yetu
Basi inabidi ususe tu kula kwani kila chakula ulacho kina roho ndani yake hata mimea pia ina roho kama ulikuwa hujuwi. Jiue tu kijana.Habari wakuu,
Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu
Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..
Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
😁😁 aulizwe pia kwani mimea haina uhai??Usikute umevaa kiatu cha ngozi hapo.
😂😂 daahAu ule mizoga
Hata usipomla amesha kufaHabari wakuu,
Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu
Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..
Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Hata ngaja wanayo vuta nayo ina rohoAcha kuhudhuria vikao vya marasi
Ila vitoto vya 2000 unagongaHabari wakuu,
Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu
Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..
Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Vimewekewa KEI ya kunyanduliwaIla vitoto vya 2000 unagonga
Hata mimea nayo ni viumbe hai.Habari wakuu,
Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu
Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..
Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Usiwe unakula na mboga za majani piaVimewekewa KEI ya kunyanduliwa
So ni haki na wajibu
Ila viumbe hai kuwala, hapo haijakaa sawa
Kama God kaumba viumbe tuwale, then why kawapa hisia za maumivu ya kifo?
Ahaa nilisahau
Mungu ameumba viumbe Tulane
Afya ya akili imepoteaHabari wakuu,
Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu
Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..
Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii