Nimejikuta nachukia kula chakula chochote chenye asili ya Roho, naona kama nafanya ukatili

Nimejikuta nachukia kula chakula chochote chenye asili ya Roho, naona kama nafanya ukatili

Uko sahihi. fuatisha nafsi yako inavyokuambia. hata hivyo Mungu hakutuumba tule nyama. Tulianza kula nyama kwa tamaa zetu na dhambi zetu. Mungu alituumba tule matunda na mbogamboga ........ waroho wa nyama watakuja nishambulia niko tayari..... Wewe kula aina zooote za mboga mboga na utaenjoy maisha na kuwa na afya njema sana. Kwanza hiyo mikuku kifafa ndio inatuua siku hizi na makansa ya ajabu, minyama fekiiiiii
 
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Basi inabidi ususe tu kula kwani kila chakula ulacho kina roho ndani yake hata mimea pia ina roho kama ulikuwa hujuwi. Jiue tu kijana.
 
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Hata usipomla amesha kufa
 
Ubudha unafafanua vyema sana juu ya faida na hasara ya kula nyama na umeenda mbali zaidi na kuainisha vigezo ambavyo vinamiwezesha mtu kula nyama na aina ya nyama ambayo inaweza kulowa na mtu.
 
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Ila vitoto vya 2000 unagonga
 
Ila vitoto vya 2000 unagonga
Vimewekewa KEI ya kunyanduliwa
So ni haki na wajibu

Ila viumbe hai kuwala, hapo haijakaa sawa

Kama God kaumba viumbe tuwale, then why kawapa hisia za maumivu ya kifo?

Ahaa nilisahau
Mungu ameumba viumbe Tulane
 
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Hata mimea nayo ni viumbe hai.

Je unataka kushindana na Mungu maana yeye ndiye mjuzi na yeye ndiye aliyetoa hiyo ruhusa na kuharamisha baadhi ya wanyama
 
Vimewekewa KEI ya kunyanduliwa
So ni haki na wajibu

Ila viumbe hai kuwala, hapo haijakaa sawa

Kama God kaumba viumbe tuwale, then why kawapa hisia za maumivu ya kifo?

Ahaa nilisahau
Mungu ameumba viumbe Tulane
Usiwe unakula na mboga za majani pia
 
Habari wakuu,

Katika Maisha yangu yote hakuna chakula ambacho Sili Ila kuanzia mwezi huu nimeona maajabu

Nimejikuta siwezi kula chochote chenye asili ya Roho naona kama nadhurumu nafsi ya viumbe yaani nakula kiumbe ambe ameuawa naona kinyaaa Sana kula nyama ya Kuku naona kama namuonea Kuku amekufa nimle Hali ya kuwa ana familia Yale yani nachukia kula chochote chenye Roho..

Wakuu hili ni tatizo AU yani nakula nafaka mboga nk imekaaje hii
Afya ya akili imepotea
 
Back
Top Bottom