Kuna tafiti nyingi zinaonyesha nyama imekuwa muhimu sana katika evolution katika kuimarika kwa ubongo na afya ya ujumla ya binadamu kwa maelfu ya miaka.
Huko porini ambapo binadamu ameishi kwa maelfu ya miaka angepata wapi protein ya kutosha zaidi ya kula nyama??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.