binamu hebu msaidie huyu anayejiita nicas naona anataka kuharibu hali ya hewa
mjengoni hapa mambo yaliyopita ya ngoswe
yeye anayakumbushia sijui amewekea ndunguli
kwenye mikono yake wanassiem
Achana nae huyo mtu anaitwa Nicas Mtei unajua akishavuta cha Arusha akili zake zinahama na anakuwa haelewi mambo yanaendaje na wakishirikiana na Kaizer ni balaa huwa mambo yao yanakuwa valuvalu
Last edited by a moderator: