Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Team Rafiki ni kitu cha kufikirika tu humu JF. Team Bazaz ndio timu inayo exist. Ina Matawi mikoa ya Arusha, Mwanza, Tanga, Dodoma na Kilimanjaro. Makao makuu ni Dar.
Ewaaa. Tena waambie kabisa teamrafiki ni wake na michepuko ya teambazazi.