Nimejikuta nafikiria na kuwakumbuka hawa watu...


Nipo binamu.Nalea mwendhio lakini huwa nachungulia tu humu vituko vya kina dotcom na fesibuku
 
Last edited by a moderator:
Nipo binamu.Nalea mwendhio lakini huwa nachungulia tu humu vituko vya kina dotcom na fesibuku

Afadhali binamu umeonekana bana
Naamini unaendelea na malezi vyema
Usipotee hivyo binamu yangu Zion Daughter

Kaizer acha fujo basi

Ameshaacha huyo kijana sijui alipata ndyofu mchana huu

Kaizer acha fujo uunasida gani? mbona ujiamini hata kidogo?

Msamehe bure hana makosa ndyofu ndio zinaongea
cc Kaizer
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…