Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Ni vizuri kupima kila baada ya muda mkuu
Ni kweli
Nitapima hiko kipindi najiandaa baada ya hapo nitakuwa napima mara nyingi...hata hivyo najua sina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuri kupima kila baada ya muda mkuu
Good.Ni kweli
Nitapima hiko kipindi najiandaa baada ya hapo nitakuwa napima mara nyingi...hata hivyo najua sina
Nawe piaMungu atusaidie tu kwa kweli.
Usiku mwema
Good.
Ubaki na afya njema aiseee.
Usiku mwema kwako
Honestly sijawahi kupima,nina mpango wa kupima mapema mwakani kipindi nipo kwenye harakati a.k.a maandalizi ya kupata mimba
Mie niliwahi kupima wakati flani nikasema nikisalimika, naenda kozi ya utawa, niwe kasisi, padre mwandamizi, shemasi wa muda wote, mzee wa upako, buldozzer.... Majibu yakatoka safi kama moshi wa kumchagua Pope. Nisiongee sana kupima ni zoezi pevu, hasa kusubiria majibu.
inachonishangaza woga wa kupima nilikua nao hata wakati sijawahi kabisa kujihusisha na mahusiano.
Hiyo tender hapo mwakani itatangazwa kwa watu wote?
Kumbe kupata mimba kuna maandalizi!Honestly sijawahi kupima,nina mpango wa kupima mapema mwakani kipindi nipo kwenye harakati a.k.a maandalizi ya kupata mimba
Kumbe kupata mimba kuna maandalizi!
Tatizo la huo ugonjwa ni kwamba unapima lakini hupewi dawa ya kuutibu kama ukikutwa nao
Hahahahah hiyo tender itajumuisha tangazo kwenda kwa watu wote,vigezo na masharti kuzingatiwa
Honestly sijawahi kupima,nina mpango wa kupima mapema mwakani kipindi nipo kwenye harakati a.k.a maandalizi ya kupata mimba
Ngoja naendelea kupokea nyingine nyingi...nitakuita kwa ajili ya interviewCV yangu nimeshatuma tayari.
Kumbe kupata mimba kuna maandalizi!
Wewe ulishawahi kupima?Mmmh!
Ngoja naendelea kupokea nyingine nyingi...nitakuita kwa ajili ya interview
Wewe ulishawahi kupima?
Interview ni kwa vitendo?
Loh!hongeraNapima mara 2 kwa mwaka.
Hapana,tutaanza na written interview....baada ya mchujo ndio naweza kufikiria practical