Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda kakosea kuchanganya hizo reagents ndo maana imetokea NEGATIVE Sasa nenda ANGAZA utafurahi na roho yakoUkimwi upo tu siku zote na watu wanaendelea kudunda eti yeye ana hofu....
Kwamba Angaza hawaongopi??Huenda kakosea kuchanganya hizo reagents ndo maana imetokea NEGATIVE Sasa nenda ANGAZA utafurahi na roho yako
😂 😂 😂 😂 😂Huenda kakosea kuchanganya hizo reagents ndo maana imetokea NEGATIVE Sasa nenda ANGAZA utafurahi na roho yako
DuuhWakuu habari
Katika vitu vigumu kufanya kwenye maisha yangu ilikua kupima Ukimwi maana niliuza mechi nyingi sana.Nina miaka 23 Nimetembea na wasichana 30+ na hakuna hata mmoja niliyetumia kinga.
Sasa juzi kati nilipata hofu kubwa sana baada ya kupita na manzi fulani mkalii ila nilikua simuelewi elewi. Ikapita miezi kadhaa nikatafuta vipimo kadhaa vya HIV.
Nikakaza moyo nikajifungia ndani nikapima niko freshi aisee sikuamini nilitokwa na mchozi. Saa hizi msichana yeyote nikihitaji kula tunda nampima kwanza hapo hapo ndio nakula tunda kavu kavu.
Je, ushawahi kujipima UKIMWI na ukakuta upo Negative! ilikuaje?
Hahaha😂 😂 😂 😂 😂