Nimejipima VVU, niko Negative (-)

Nimejipima VVU, niko Negative (-)

Hivyo vipimo hua vinapatikana pharmacy au hua mnavipata wapi?

Sent from ONEPLUS 5T using Tapatalk
Inabidi uwe karibu na Wauguzi wa Maabara hospitalini hasa za serikali
 
huna tofauti na mtu anaetoka kuzika, husema naacha dhambi, ila akili inasahau mapema sana utarudi kule mapema sana.
 
Unakuta mtu anakwambia et HIV ni ugonjwa wa kawaida ase huo ndo ushauri unaoponza ile ktu n kisanga
 
Ukimwi upo tu siku zote na watu wanaendelea kudunda eti yeye ana hofu....
Huenda kakosea kuchanganya hizo reagents ndo maana imetokea NEGATIVE Sasa nenda ANGAZA utafurahi na roho yako
 
Wakuu habari

Katika vitu vigumu kufanya kwenye maisha yangu ilikua kupima Ukimwi maana niliuza mechi nyingi sana.Nina miaka 23 Nimetembea na wasichana 30+ na hakuna hata mmoja niliyetumia kinga.

Sasa juzi kati nilipata hofu kubwa sana baada ya kupita na manzi fulani mkalii ila nilikua simuelewi elewi. Ikapita miezi kadhaa nikatafuta vipimo kadhaa vya HIV.

Nikakaza moyo nikajifungia ndani nikapima niko freshi aisee sikuamini nilitokwa na mchozi. Saa hizi msichana yeyote nikihitaji kula tunda nampima kwanza hapo hapo ndio nakula tunda kavu kavu.

Je, ushawahi kujipima UKIMWI na ukakuta upo Negative! ilikuaje?
Duuh
 
Back
Top Bottom