Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahDoooh,tusibebeshane mizigo aiseee!
Siwezi mzidi mpenzi wangu uzuri bwana,asa mpenzi ana sura ka babu alafu hao wanaongozaaaa kwa kuzaa watoto wanaofanana naooooo acha kbsa..dem akiwa mzuri sura ya mtoto inakimbilia kwa baba sjui hawa watoto huko tumbon wanajuaga nan mwnye sura ya ajabu!Dah sio fresh mkuu, unaubaguzi kweli kwa dada zetu waliopewa sura za babu mzaa babu
Ndio Kitaa Huko kwa sasa Nipo DSMMkuu upo usa river!?
Muumbe wako basiYeye kanikatili zaidi
Nyoosha kiswahili hapa.Hahahaaaa,nitaindaa kabisa siku nikitinga!
Nahuku ndio hivyo nimeona asilimia kubwa mwanaume wakuoa anatoka kwa Mungu.Huko tunasaka wa kiburudisho tu,sio kuoa!
shida yenu mtufumanie na tunavyochepuka maana hamjambo kwa kuganda bwana,sawa acheni tubanane humu humu ila ndo mjiandae kukuta msg za side chick za kutosha,yan kwa jiran lazmaAsubutuuuuuuu
Tutabanana hapahapa na nyie.
Ila muache kutubagua.Weeee,atawakimbiza balaa!sema pumzi tu
shida yenu mtufumanie na tunavyochepuka maana hamjambo kwa kuganda bwana,sawa acheni tubanane humu humu ila ndo mjiandae kukuta msg za side chick za kutosha,yan kwa jiran lazmaAsubutuuuuuuu
Tutabanana hapahapa na nyie.
Sawa...ila uki-cheat baadae si utarudi kwangu?shida yenu mtufumanie na tunavyochepuka maana hamjambo kwa kuganda bwana,sawa acheni tubanane humu humu ila ndo mjiandae kukuta msg za side chick za kutosha,yan kwa jiran lazma
Dah kumbe na we mkuu unazikubali hizi mambo ni nowma aisee.ukisikia mtu anasemaWapo tu ila sema hawajapatikana,kuna siku mabaki yao yatapatikana tu!
Ulibahatika kuona ile episode ya "the perfect murder" ambapo watu wawili walikuwa wrongly convicted for over 17 years kwa kosa la kubaka na kumuua binti?It was so shocking,kipindi uhalifu unatendeka hakukuwa na DNA!
Hapo sawaHiyo nauli nitaiweka mfuko wa shati siku nikija mama,mambo ya kuaibishwa mbele ya kadamnasi nani anataka
Kweliiii ni aibu yaani ni mambulula tu.Wanaume wa Dar wanatapeliwa hadi na wanawake!